Nampenda saana halima mdee

Nampenda saana halima mdee

PAPA OBAMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2013
Posts
204
Reaction score
87
huyu
dada huwa nikisikia ile swaga yake mi hoi huwa ana sauti ya bezi hii
kwangu ni sauti ya gharama huwa inauchoma moyo wangu plz njiwa nakutuma
peleka salamu au mwenye cont zale plz
 
Sasa kama unampenda si umtweet kwenye blog yake? Haya mambo ni too personal kuweka hapa! ungekuwa unatafuta yeyote sawa lakini lengo tayari unalo kwa hiyo tumia mikakati mingine jinsi ya kuwasiliana naye. Stamina ya jogging unayo?
 
huyu
dada huwa nikisikia ile swaga yake mi hoi huwa ana sauti ya bezi hii
kwangu ni sauti ya gharama huwa inauchoma moyo wangu plz njiwa nakutuma
peleka salamu au mwenye cont zale plz
Namba yake ni 0782568820 malizana nae sasa
 
Jaribu bahati huwezi jua. Yeye mwenyewe si ana ukame
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom