Ptheducer15
Member
- Oct 18, 2012
- 20
- 45
Mimi ni kijana nmezaliwa tarehe 2 jan 1986. Umri unakwenda na sasa najisikia niko tayari kuwa na mke na kuanza maisha ya familia. Mimi ni mkristo hivyo nahitaji mwanamke mkristo na mweye hofu ya Mungu. Mimi sinywi pombe wala sivuti sigara....
Nahitaji mwanamke mwenye mwili wa kawaida/mwembamba na asiwe mfupi rangi yeyote ila kama ni mweupe usiwe wa mkorogo. Umri kuanzia 21-27
Nahitaji mwanamke mwenye mwili wa kawaida/mwembamba na asiwe mfupi rangi yeyote ila kama ni mweupe usiwe wa mkorogo. Umri kuanzia 21-27