Sasa huyo mjane unataka kumuoa au???????
kama unamjua mjane muelekeze kwa mshkaji
Suala muhimu hapo ni kupima tu,huenda mume kafa kwa Ngoma,mjane yupo -ve,au marehem alitangaza ana ukimwi ili kuwatisha watu wasimuoe mjane(mkewe alomuacha) kwa sababu za wivuYupo mumewe amekufa miezi 5 iliyopita sema mtaani wanadai kafa na ukimwi, ila kama yuko tayari namuunga.