Mteule halisi
Senior Member
- Oct 21, 2014
- 197
- 98
Nichukue nafasi hii kuwashukulu wana jf! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ninatafuta mchumba aliye serious ambae siku za usoni tutakua mke na mume.
Baada ya kuachana na yule niliyekua nae kama miezi miwili iliyopita nimekua mpweke sana na nikitamani siku moja nimpate mwenza nitakae panga nae malengo na awe mshauli wangu katika katika safari hii ya maisha.
Sifa za ninaemtafuta;
Umri:18-24
Dini: Mkristo
Kabila: Lolote lile
Elimu: Yeyote ile ata akiwa std 7
Rangi: Yeyote ile
Sifa zangu mimi: Mweupe, mrefu kiasi, mnene wa wastani, elimu ni stashahada ( Diploma), mkristo!
Naomba mtambua kua niko serious na swala hili, Ahsanteni!!!
Baada ya kuachana na yule niliyekua nae kama miezi miwili iliyopita nimekua mpweke sana na nikitamani siku moja nimpate mwenza nitakae panga nae malengo na awe mshauli wangu katika katika safari hii ya maisha.
Sifa za ninaemtafuta;
Umri:18-24
Dini: Mkristo
Kabila: Lolote lile
Elimu: Yeyote ile ata akiwa std 7
Rangi: Yeyote ile
Sifa zangu mimi: Mweupe, mrefu kiasi, mnene wa wastani, elimu ni stashahada ( Diploma), mkristo!
Naomba mtambua kua niko serious na swala hili, Ahsanteni!!!