Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
ndugu wanajf natumaini mko powa. natafuta mrembo msomi mkristo anayejiheshimu katika nyanja zote. popote alipo ndani na inje ya nchi kwa ajili ya kujenga maisha kisomi. mimi ni mwanaume mtanzania...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
"In every dark night,there is a light day ahead, keep ya head up neccas"
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Wana jf amani iwe kwenu nyote. Habari zenu wapendwa? kwa sasa nimeamua kutafuta jiko la ukweli. Mimi ni muislam naishi shinyanga kikazi ila ni mzaliwa wa Lushoto Tanga. Ambaye yuko tayari na ana...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mimi ni kijana mwenye umli wa miaka ishirini na tisa nimeajiliwa katika idala moja wapo ya serikali. Ninatafuta mwanamke mwenye umli kati ya miaka 18 mpaka 28 sifa za ninae mhitaji awe na elimu...
0 Reactions
16 Replies
11K Views
Nasikia wanawake kuanzia umri wa miaka 40 wana mapenz matamu sana so aliyetayari anitafute kwa namba 0659760575. Sifa. 1.asiwe na mme 2.awe na miaka 40 na kuendelea. 3.mwenye hela. 4.awe tayari...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mi ni kijana,me-sex toka tz,nna 28,niko na job,inaniingizia 300,000/mnth nalook 4 the true fiancee frm ky,awe a ngalau na qulfctins hz; -christian. -fighter. -black-pure afro. -elite. -modern...
0 Reactions
14 Replies
13K Views
Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 46,nimejitokeza hapa kwa lengo la kutafuta mwanamke wa kuoa.Awe na umri kuanzia miaka 42 na kuendelea
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi wana JF!! I am looking for a lady maximum age 32 with a bachelor degree and above. PM plse. Only for serious women
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna Mbongo kaniomba nimsaidie kupost hii maana yeye akaunti inagoma kufunguka kasahau nenosiri....nawaomba chonde usitume PM kwangu kwani haitosaidia wala sitazijibu badala yake wewe tangaza nia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwanza yaonekana nzuri natafuta mwenyeji, niweze kuuelewa mji
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Natafuta mke kuanzia miaka 25-31, awe angalau kafika kidato cha 4 na kuendelea. Awe tayari kupima na hata kama ana m\watoto sio mbaya wasizidi 2. Mimi ni mwanaume nina miaka 34 elimu shahada...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natafuta mchumba wa kuish nae awe angalau amefika collage yoyote tu!! Kwa kuwasiliana zaid nicheki hapa 0758082840
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Nataka mmama mnene Halafu awe na pesa tuwe wapenzi. 0655191544 awepo DSM
0 Reactions
27 Replies
14K Views
Natafuta mume mwema
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa jina SULEIMAN ninaumri miaka 29,kabira mama mpare baba mnyamwezi,mrefu kiasi,si mwembamba wala mnene,mweupe wala mweusi,ni kati kwa kati,dini muislamu,elimu chuo kikuu,mfanyabiashara mdogo na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
anyone who is ready to chat with me in english he/she is invited. time for chatting will be from 22:00 to 00:00 am. chatting without any restrictions (unconditional chatting).
0 Reactions
22 Replies
2K Views
BADO SIJAOA...Natafuta # Mwanamke_Aliyeachika maana Nimeambiwa MKE MWEMA ANATOKA KWA BWANA.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani nina swali. Hivi mwanamke kupenda kukaa na mme wake mda mwingi ni kuonyesha upendo au ni wivu wa mapenzi...wengine hawataki kuona unatoa mguu nyumbani ananuna kama nini .... akiona...
0 Reactions
1 Replies
915 Views
Mimi nina umri wa miaka 34 natafuta mke awe na umri wa miaka 28-31,Mwenye sifa hiyo anitafute 0715898965 tutaongea unaweza andika sms
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wadau, kama upo mpweke kama mimi naomba tuwe friends na kubadilishana mawazo na hata outing pia kama itawezekana!! KAMA HUTOJALI KARIBU SAANA. ni pm kwa maelezo na mawasiliano zaidi
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom