sijakuelewa da pretaUna da'arama sana...........
sijakuelewa da preta
ha ha ha ha! umenifurahisha sana. kiswahili najua ila napenda kiingereza kwakuwa kinataste nzuri kwenye mapenzi na chatting pia. pia napenda kuimprove kiingereza changu ili siku moja nimtokee demu wa kizunguKumbe unajua Kiswahili.........ulivyosema unataka kingreza nami nikaja na lugha ya kwetu..........
ha ha ha ha! umenifurahisha sana. kiswahili najua ila napenda kiingereza kwakuwa kinataste nzuri kwenye mapenzi na chatting pia. pia napenda kuimprove kiingereza changu ili siku moja nimtokee demu wa kizungu
fresh, mdogo mdogo unajua english vizuri. you are welcome, sipagui si chagui. ni mtu yeyote anakaribishwaMimi sijui english vizuri, halafu ni dume inakuaje there
ha ha ha ha! umenifurahisha sana. kiswahili najua ila napenda kiingereza kwakuwa kinataste nzuri kwenye mapenzi na chatting pia. pia napenda kuimprove kiingereza changu ili siku moja nimtokee demu wa kizungu
Sasa hakuna lugha tamu kama kiiraq kwenye mapenzi.........uliza utaambiwa........kingereza nini bana..........
fresh, mdogo mdogo unajua english vizuri. you are welcome, sipagui si chagui. ni mtu yeyote anakaribishwa
unamaanisha kiiraq kipi? kinachozungumzwa tanzania na wakazi wengi kutoka manyara au kinachozungumzwa nchini Iraq?. kama ndivyo naomba unifundisheSasa hakuna lugha tamu kama kiiraq kwenye mapenzi.........uliza utaambiwa........kingereza nini bana..........
Ww ni mu iraq???
Mimi ndie.........
no commentInge sound poa kama ungeplan kuw na english village .....
no comment
Mimi ndie.........
no, i'm not. but coming soonAre you on whats app dude??
no, i'm not. but coming soon
absolutely yesI bet you will,
Sasa hakuna lugha tamu kama kiiraq kwenye mapenzi.........uliza utaambiwa........kingereza nini bana..........