Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,119
Mwanza yaonekana nzuri natafuta mwenyeji, niweze kuuelewa mji
Mwambie mimi ndo nimekuja mwanza nipo tai hotel mwanza....Dinazarde amu brenda18 charminglady hao ni baadhi wanaoweza kukukaribisha mwanza hela yako tu iwe mfukoni maana lunch zao wanakula malaika,breakfast tilapia na dinner golden crest so jipange
Mwambie mimi ndo nimekuja mwanza nipo tai hotel mwanza....
Aseme nimuwekegee booking kabisa...
Atachanganyikiwa bure hapo ukute anafikia kwa ndugu huko bugarika
Duuuuh!
Niko tayari kuwa mwenyeji wako naishi mwanza eneo la kirumba mtaa wa mbuke karibu na lakairo hoteli.nitafute kwa number 0754676691
Atachanganyikiwa bure hapo ukute anafikia kwa ndugu huko bugarika
Atachanganyikiwa bure hapo ukute anafikia kwa ndugu huko bugarika
Atachanganyikiwa bure hapo ukute anafikia kwa ndugu huko bugarika
Ukarimu ni jadi yetu wasukuma. Uliza popote utaambiwa.Nimependa sana ukarimu wako
charminglady kesho mama tutafutane....