The master
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 289
- 196
Wana jf amani iwe kwenu nyote. Habari zenu wapendwa? kwa sasa nimeamua kutafuta jiko la ukweli.
Mimi ni muislam naishi shinyanga kikazi ila ni mzaliwa wa Lushoto Tanga. Ambaye yuko tayari na ana nia ya dhati ya kupata mume anitafute kupitia email yangu ya sembeawadhi@gmail.com.
Sifa
1. Awe muislam au awe tayari kuingia uislam.
2. Awe tayari kuolewa kwa mahari isiyozidi 500,000.
3. Awe msomi mwenye digree.(Mimi elimu yangu form 4)
4. Awe na kazi ya kuajiriwa au ya kujiajiri binafsi.
5. Awe tayari kuishi maisha ya ndoa yenye heshima, upendo wa kweli na uaminifu.
6. Awe mcha Mungu.
Mke mwema atoka kwa Mungu na halikadhalika mme mwema hivyo hivyo.
MUNGU AWABARIKI WOTE. Siku njema.
Mimi ni muislam naishi shinyanga kikazi ila ni mzaliwa wa Lushoto Tanga. Ambaye yuko tayari na ana nia ya dhati ya kupata mume anitafute kupitia email yangu ya sembeawadhi@gmail.com.
Sifa
1. Awe muislam au awe tayari kuingia uislam.
2. Awe tayari kuolewa kwa mahari isiyozidi 500,000.
3. Awe msomi mwenye digree.(Mimi elimu yangu form 4)
4. Awe na kazi ya kuajiriwa au ya kujiajiri binafsi.
5. Awe tayari kuishi maisha ya ndoa yenye heshima, upendo wa kweli na uaminifu.
6. Awe mcha Mungu.
Mke mwema atoka kwa Mungu na halikadhalika mme mwema hivyo hivyo.
MUNGU AWABARIKI WOTE. Siku njema.