Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari zenu Natafuta mwanamke wa kula nae raha na utamu Nipo Dar
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nahitaji rafiki wa kike ambaye baadae tunaweza tukawa pamoja ktk mauhusiano... ni pm.... isolation kills me...
0 Reactions
0 Replies
851 Views
27 age cjaoa naitaji mke very sereous age yeyote kupima afya ni muhimu kama unamtoto siyo mbaya nitafute tufanye maisha 0716284572
0 Reactions
16 Replies
3K Views
habari wana JF natafuta mpenz wa kike umr kuanzia miaka 18 mpka 25 mim nina miaka 25 npo dar naye pia awe dar,,me ni mfanyakaz nimeajiriwa ktk kampun binafs hapa dar,natafuta mpenz ikiwezekana aje...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naitw armany naishi dar,, nahitaji mpenz wa kweli na asiwe muongo...awe modle kiias rang yyote...0758082840 whatsapp utaniiipata
0 Reactions
1 Replies
943 Views
Hodi humu i am a boy 22 years old nipo chuo kikuu degree in electrical engineering. I am a single boy shida yangu ni upweke umenizidi, natafuta mpenzi ambaye if possible tuje kuoana vigezo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Na umri wa miaka 27 nipo dar naitaji mwanamke anae nizidi umri au kulingana umri tuishi pamoja kama upo teyali nitafute 0716284572
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi kwa jina naitwa Idd Kilele umri wangu ni miaka 24 naishi Kimara Dar es salaam awe anajua kusoma na kuandika na awe ana mapenzi ya kweli ivo 2 Kwa mawasiliano zaidi 0766935145
1 Reactions
45 Replies
6K Views
Wakuu mi ni kijana nisiyeweza kuweka privancy yangu hapa. Ila namtafuta msichana ambaye akicoment naona id yake ina zaidi ya miaka 3 JF halafu bikra. nasubiri wenye vigezo, hahaha zaidi ya...
0 Reactions
114 Replies
8K Views
Habari zenu wana jukwaa,mimi kijana wa miaka 21,nimejiajiri natafuta mchumba wa kiislam ambae atakuja kua mke wangu umri wake ni 18-24,awe anaejielewa na mchapa kazi kama ukijiona unazo sifa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wadau. Hii ni mara yangu ya kwanza kupost hapa kwenye jamvi nia na madhumuni natafuta mume, mimi ni mwanamke wa miaka 31 naishi arusha nina watoto 2. Natafuta mume kuanzia miaka miaka 35...
3 Reactions
56 Replies
7K Views
Natafuta mwanamke age between 19-30 niko tayari kufanya lolote...chochote kwa ajiri yake awe tu mwenye msimamo na mwenye mapenz ya kweli na awe na wivu wa maendeleo na mwenye future vision me...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wana jf, hili bandiko ni la kitambo sana kwa maana hiyo halina matumizi tena. Asanteni sana kwa comments zenu.
3 Reactions
146 Replies
21K Views
Hi
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Aslaam alyeiku,kwanza naanza kwa kumshukuru Allah kwa uzima aliotupati,Kisha kuwashukuru wote mtakao changia mada hii,kikubwa ni kujenga na si kubomowa. Nimejitokeza Mbele ya kurasa hii nia ni...
3 Reactions
46 Replies
6K Views
habari zenu wapendwa nadhani si mara yangu ya kwanza kujitokeza mele yenu na kuomba ombi hili,nakumbuka hii ni mara ya tatu, nia yangu ni kupata mpenzi wa roho,mwanaume tutakae match...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wa kuu, samahan mm nina maswali yafuatayo ninaomba nielimishwe hivi ni yupi anaepaswa kulipia gharama(mahari,pete ya uchumba,nauli ya kwenda na kurudi kama wanaishi mbali,na huduma ndogo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Jamani mimi ni mvulana fulani natokea pande fulani. Natafuta binti wa kubadilishana mambo kadhaa. SIFA ZAKE. *Awe amepitia kwenye maswala ya mapenzi. *Awe tayari kuulizwa swali lolote, nami...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana JF,Mimi ni mwanamke mkristo,mwenye umri wa miaka 33, ninaishi moshi lkn ni mtu wa nyanda za juu kusini,Nina watoto 2.Natafuta mchumba ambae Mungu akipenda tutakuwa mume na mke,awe na...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Back
Top Bottom