Rejea kichwa cha habari.
Nina umri wa miaka 29, elimu yangu ni chuo kikuu.zifuatazo ni baadhi sifa muhimu za mke naemuitaji :
1.Awe mcha Mungu ( mkristo )
2. Awe mwenye maadili ya kiafrika...
Hello JF habari yenu, naitwa Collins 29,ni mwanaume. Nina elimu ya chuo(IFM) degree ya 1. Ninafanya kazi kwa sasa. Napenda Music,kuogelea,kusafiri,mpira(Man Utd),kwenda beach,movies,kusaidia pale...
Nina miaka 44,natafuta mwanamke ambae anaitaji MUME kikweli na sio mpimajoto,ni muda mrefu sana natafuta mke lkn wote ni wapimajoto hii ndio sababu mpaka umri huu naangaika kupata mwanamke...
Habari zenu wapendwa..!
Kwanza namshukuru mungu kwa kunipa uzima telee.
Mimi ni kijana wa kiume,ninatafuta mwanamke wa kuoa
wasifu wangu ni kama ifuatavyo:-
1.umri wangu upo kati ya miaka 25-30...
kwa sasa nipo wilayan Serengeti nimefika jpili ninapenda nipate mwanamke MWENYE kujitambua ili awe mwenyeji Wangu mengineyo tutaongea kupitia 0766627147
Nimekuwa nawaza sana what kinda woman if I have her then wengine watalazimika kutumia nguvu kubwa sana kunifanya nichepuke.
Nadhani nimeweza kumjua na kama ningekuwa najua kuchora kama zamani...
Wadau habari! Natafuta mwanamke mzuri wa mkoa wa mbeya. Awe chocolate colour, elimu kuanzia form six na kuendelea. Mim ni msc ya accounting n finance holder wa mzumbe niligraduate mwaka jana, kwa...
Nafasi hii najitokeza natafuta sugarmamy sasa hv mapenzi na vijana wenzangu sitaki maana ake kuumizana vichwa nimechoka. Nataka kutulizana na SugarMamy aliyetayari tukutane PM.
miaka yangu 32. natafuta rafiki wa kike (mpenzi) umri kati ya miaka 23 na 45 anayependelea zaidi story za sex na kufanya sex ,nipo dar na sibagui dini wala umri kama uko tayari nitakutumia namba...
mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 32, nipo dar, umbile langu ni la kati, (kiuno cm 32. urefu ft 5. na nch 7 mguu navaa no 8, si mwesi na wala si mweupe ila nakimbilia kwenye weusi) napenda...
Kesho saa nne nitakuwa nimeingia makao makuu ya nchi-Dodoma kwa shughuli zangu za kikazi,jioni ningependa nikutane na msichana yeyote wa JamiiForums aliyepo Dodoma, niweze kubadilishana mawazo na...
Hi Ladies,
I am a 42yrs male, 6 ft tall and medium body type, degree holder and i am looking for a beautiful woman at her 24 to 33, no kids with a degree, 5'4" - 6ft, athletic to medium body...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.