Kwa wanawake wanao tafuta wachumba tu

Kwa wanawake wanao tafuta wachumba tu

M2mishi

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
719
Reaction score
274
  1. Mimi ni kijana mwenye umli wa miaka ishirini na tisa nimeajiliwa katika idala moja wapo ya serikali.
  2. Ninatafuta mwanamke mwenye umli kati ya miaka 18 mpaka 28
  3. sifa za ninae mhitaji awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, asiwe mwanafunzi, awe mkiristo kama ni mwislamu awe tayari kubadili dini
  4. kwa mawaasiliano nitext kupitia namba 0753868912 ili tuongee zaidi na ni kwa walio sereous tu
 
  1. Mimi ni kijana mwenye umli wa miaka ishirini na tisa nimeajiliwa katika idala moja wapo ya serikali.
  2. Ninatafuta mwanamke mwenye umli kati ya miaka 18 mpaka 28
  3. sifa za ninae mhitaji awe na elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, asiwe mwanafunzi, awe mkiristo kama ni mwislamu awe tayari kubadili dini
  4. kwa mawaasiliano nitext kupitia namba 0753868912 ili tuongee zaidi na ni kwa walio sereous tu
Kijana nakushauri umchukue mwanafunzi ili mpeane pindi la mwandiko.
 
Kijana nakushauri umchukue mwanafunzi ili mpeane pindi la mwandiko.

Kama unaona donge kaolewe wewe, mwandiko unahusika vipi kwani katumia peni? Ukiona hujaelewa ujumbe jua haukuhusu. Hakuna awezaye kuongea lugha yoyote kwa ufasaha 100%
 
Kama unaona donge kaolewe wewe, mwandiko unahusika vipi kwani katumia peni? Ukiona hujaelewa ujumbe jua haukuhusu. Hakuna awezaye kuongea lugha yoyote kwa ufasaha 100%

Hii Id yako nyingine?? Hivi mtu mzima tena mwajiriwa wa serikali anawezaje kuandika ovyo namna hii? Eti umli,mwajiliwa,idala...uwii
 
Kama unaona donge kaolewe wewe, mwandiko unahusika vipi kwani katumia peni? Ukiona hujaelewa ujumbe jua haukuhusu. Hakuna awezaye kuongea lugha yoyote kwa ufasaha 100%
Mbona povu linakutoka wewe?? Jamaa anatafuta dame sio shoga!! ila endelea kujipendekeza anaweza akabadili msimamo wake, ukapata bwana!!
 
Daaah!Vijana wetu wana tatizo sana na matumizi ya "l' nab" r" pia jinsi ya kutumia "h" na"a"

Tumsaidie huyu jamaa Khantwe tusimuache aendelee kuharibu hivi
 
Last edited by a moderator:
Hii Id yako nyingine?? Hivi mtu mzima tena mwajiriwa wa serikali anawezaje kuandika ovyo namna hii? Eti umli,mwajiliwa,idala...uwii
Ukishajua aina ya serikali anayoitumikia hutashangaa aina ya mtumishi wake........hao ndio waajiriwa wa serikali yetu sikivu......ukija kuchunguza unaweza kukuta hata vyeti ameghushi ili kuipata hiyo ajira.....maana hata mpwa wangu anayesoma nursery ana nafuu kwenye uandishi kama huu....
 
Ukishajua aina ya serikali anayoitumikia hutashangaa aina ya mtumishi wake........hao ndio waajiriwa wa serikali yetu sikivu......ukija kuchunguza unaweza kukuta hata vyeti ameghushi ili kuipata hiyo ajira.....maana hata mpwa wangu anayesoma nursery ana nafuu kwenye uandishi kama huu....

Kwa kweli....yani ni ajabu kuona mtu mzima anaandika vitu kama hivi daaah
 
Back
Top Bottom