lamalu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 612
- 776
Habari.
Nilipost humu kuhusu kutafuta Mchumba ili nimuoe ila mrejesho niliopata Pm nina hakika hapa sio sehemu sahihi,jamani mi sio wa kuhamisha Pm kuja hapa.
Nimejifunza sana kuna ambao tumeongea vizuri kuna vitu hatujaelewana ila tumekubaliana kwani sifa hatujaendana tumebaki marafiki nimependa.
Tatizo limekuja kwa wengine na hii niwape tahadhari wale ambao kweli mnataka wachumba au wenza humu,mtu kaja na swaga za kike lakini nikagundua ni mwanaume anatumia Picha za kudownlod ananitumia eti ni yeye Msichana.
Jamani sio vizuri,nimeghairi kuna mengi yanaendelea pm yangu sitaki uwanja mdogo huu people are not serious here.Mwisho msaada anayeweza kunisaidia kufuta ule uzi wangu wa kutafuta mchumba please anisaidie.
Nilipost humu kuhusu kutafuta Mchumba ili nimuoe ila mrejesho niliopata Pm nina hakika hapa sio sehemu sahihi,jamani mi sio wa kuhamisha Pm kuja hapa.
Nimejifunza sana kuna ambao tumeongea vizuri kuna vitu hatujaelewana ila tumekubaliana kwani sifa hatujaendana tumebaki marafiki nimependa.
Tatizo limekuja kwa wengine na hii niwape tahadhari wale ambao kweli mnataka wachumba au wenza humu,mtu kaja na swaga za kike lakini nikagundua ni mwanaume anatumia Picha za kudownlod ananitumia eti ni yeye Msichana.
Jamani sio vizuri,nimeghairi kuna mengi yanaendelea pm yangu sitaki uwanja mdogo huu people are not serious here.Mwisho msaada anayeweza kunisaidia kufuta ule uzi wangu wa kutafuta mchumba please anisaidie.