Kwako mtarajiwa wangu

Kwako mtarajiwa wangu

mjinishure

Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
86
Reaction score
56
KWAWANAWAKE TU

Natafuta mchumba elimu yangu shahada ya information communication technology,ninaishi dsm,umri wangu miaka 26,sura yangu ni maji yakunde urefu wangu futi 6,napendelea kucheza mpira na upande wa chakula napenda chakula cha asiri.

SIFA ZA MWANAMKE NINAE MHITAJI KUWA MKE MTARAJIWA

awe mweupe au mweusi sawa ila asiwe ametumia mkorogo wowote kubadili sura yake
awe tayari kuacha ujana na kuingia kwenye maisha ya ndoa
awe warau elimu ya kuanzia kidato cha nne
asiwe na shughuri nyingi kiasi chakushindwa kuonana
asiwe na ndoto zakuolewa na tajiri kwani maisha yangu niyakawaida
mcheshi na mwenyeupendo kwa kila mtu
Umri kuanzia miaka 21-30

NINA PENDO LADHATI KWANI NAHITAJI KUJA KUOA KABISA NAKUWA MAMA WA WATOTO WANGU
 
KWAWANAWAKE TU
Natafuta mchumba elimu yangu shahada ya information communication technology,ninaishi dsm,umri wangu miaka 26,sura yangu ni maji yakunde urefu wangu mita 6,napendelea kucheza mpira na upande wa chakula napenda chakula cha asiri.
SIFA ZA MWANAMKE NINAE MHITAJI KUWA MKE MTARAJIWA
awe mweupe au mweusi sawa ila asiwe ametumia mkorogo wowote kubadili sura yake
awe tayari kuacha ujana na kuingia kwenye maisha ya ndoa
awe warau elimu ya kuanzia kidato cha nne
asiwe na shughuri nyingi kiasi chakushindwa kuonana
asiwe na ndoto zakuolewa na tajiri kwani maisha yangu niyakawaida
mcheshi na mwenyeupendo kwa kila mtu
Umri kuanzia miaka 21-30
NINA PENDO LADHATI KWANI NAHITAJI KUJA KUOA KABISA NAKUWA MAMA WA WATOTO WANGU


Kwa hesabu ya haraka, mita 6 ni sawa na futi 19.68. SIAMINI KAMA HASHIM AMEFIKIA HATA NUSU YA HIYO
 
Utampata subiri waje ila kwanini umekuja huku kutafuta? Kila laheriii
 
urefu wako ni mita 6. yaani kama nguzo ya umeme. Eeh huyo mchumba ana kazi
 
Kwa hesabu ya haraka, mita 6 ni sawa na futi 19.68. SIAMINI KAMA HASHIM AMEFIKIA HATA NUSU YA HIYO

Mkuu acha kupotosha watu mtu mwenye foot 6, ni mtu mwenye urefu wa kawaida sana.
 
Tukazungumze nini kaka?????

Yaan ulivyomjibu nikiiangalia unaonyesha kuwa umejawa na huruma na una utu maana unamuonea huruma kuwa Simba wa kali wanaweza kumrarua hapa mwituni.

Hii yaonyesha u mtu mzima, mwenye utu na moyo wa kujali, hivyo kama nafasi kwako ipo wazi please msaidie huyo ili asije akaangukia kwa simba wakali.

KWAWANAWAKE TU

Natafuta mchumba elimu yangu shahada ya information communication technology,ninaishi dsm,umri wangu miaka 26,sura yangu ni maji yakunde urefu wangu futi 6,napendelea kucheza mpira na upande wa chakula napenda chakula cha asiri.

SIFA ZA MWANAMKE NINAE MHITAJI KUWA MKE MTARAJIWA

awe mweupe au mweusi sawa ila asiwe ametumia mkorogo wowote kubadili sura yake
awe tayari kuacha ujana na kuingia kwenye maisha ya ndoa
awe warau elimu ya kuanzia kidato cha nne
asiwe na shughuri nyingi kiasi chakushindwa kuonana
asiwe na ndoto zakuolewa na tajiri kwani maisha yangu niyakawaida
mcheshi na mwenyeupendo kwa kila mtu
Umri kuanzia miaka 21-30

NINA PENDO LADHATI KWANI NAHITAJI KUJA KUOA KABISA NAKUWA MAMA WA WATOTO WANGU

Utampata subiri waje ila kwanini umekuja huku kutafuta? Kila laheriii
 
kama si mkurya,,,,hutasamehewa na hizo ''r''
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom