Rafiki wa kweli

Rafiki wa kweli

Status
Not open for further replies.
Joined
Sep 5, 2014
Posts
67
Reaction score
34
Nimepata Rafiki wa kweli humu Ndani (dada wa makamu) baada ya kuandika kuwa nahitaji marafiki na hivi sasa tumekuwa kama ndugu tunasaidiana kwenye shida na raha.Kumbe hapa Jamii Forums ni tofauti na nilivyokuwa nafikiri zamani sio wote waliopinda wengine ni watu makini kabisa.
 
Unashusha credit nilizokupa

Hivi vitu vya kupeana credits ndo vinawafanya watu wengi humu wawe posers, inasababisha kuongeza ugumu wa kupata marafiki wa kweli sababu wanakuwa fake, unless afungue Id nyingine na Id hii aendelee ku-maintain credits. Mfano mzuri, huyu ndugu uliyekuwa umempa credits alikuwa real, baada ya kumwambia mambo ya kushuka credits, kafyata mkia. Samahani kwa kuparamia post yako anyway!
 
Hivi vitu vya kupeana credits ndo vinawafanya watu wengi humu wawe posers, inasababisha kuongeza ugumu wa kupata marafiki wa kweli sababu wanakuwa fake, unless afungue Id nyingine na Id hii aendelee ku-maintain credits. Samahani kwa kuparamia post yako anyway!

Huyu bwana sayuni alielewa nilichomaanisha..... Bt fresh umesomeka mkuu
 
Nimepata Rafiki wa kweli humu Ndani (dada wa makamu) baada ya kuandika kuwa nahitaji marafiki na hivi sasa tumekuwa kama ndugu tunasaidiana kwenye shida na raha.Kumbe hapa Jamii Forums ni tofauti na nilivyokuwa nafikiri zamani sio wote waliopinda wengine ni watu makini kabisa.
binti wa kikwere mi nataka niwe kaka yako. kwenye shida na raha
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom