Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
I tried so hard to find friends in the sea of loneliness, only to find that loneliness was my only friend.I dont know why i'm here or but atleast i believe i can get someone like me. Pm me
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Napenda kumake friends jamani zaidi ya humu JF, i have 23 years your welcome.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Iam double J 26 aged living in Rock City. Lets be frend. Through my whatsup. 0756181677
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Umri-20 yrs na kuendelea; Awe bikira Awe mcha Mungu na mchapa kazi Kama kuna aliyetayari tuwasiliane hapa 071-336-3474
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwajina naitwa JL naishi Dar es salaam umri wangu 31, rangi yangu ni maji yakunde,dini Rc ni mtakae jinsia mwanamke umri wake 25-34,awe mweupe,elimu na kabila lolote,mwenye vigezo ani pm atajibiwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Naitwa Elisha nipo Dar es salaam nasoma chuo, natafuta mpenzi mwenye mpenzi ya dhati asiwe mpenda pesa umri kati ya miaka 18-23 namba yangu ni 0658281933, Sifa awe mfupi wa wastani.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naitwa Joshua nipo Shinyanga, natafuta mke wa kuishi nae awe na miaka 20-30. anicheki whatsapp 0788800858 Please utani siomzuri
0 Reactions
2 Replies
939 Views
Mimi ni kijana wa kati ninayejiheshimu,natafuta mwanamke wa kiislamu ili awe mchumba wangu na kama tutakubaliana tutaoana nipo makini na jambo hili. Aliye tayari anaweza weka namba ya simu inbox...
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30, nina mtoto mmoja nahitaji kuwa na mpenzi ambaye baadae anaweza kuwa mume wangu, sibagui dini, kabila wala rangi. Tafadhali iwe kwa anayehitaji tu...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Naitwa Ahmed nina umri wa miaka 30, naishi Dar es salaam, natafuta mchumba ambaye baadaye Mungu akipenda awe mke mwenye sifa zifuatazo:- (1). Awe muislamu au dini yoyote lakini awe tayari...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nina rafiki yangu kipenzi ameathirika. ana afya nzuri na hatumii dawa. anamtafuta mwanaume mwenye status kama yake. awe na umri wa kuanzia 30 kwenda juu ili ukiwezekana waishi pamoja. tafadhali...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Waheshimiwa, Mimi ni kijana 21 years looking for real friend, miaka 19-25 tutakaoweza kubadilishana mawazo na kukuzana kiupeo kupeana ushauri kufaana na kusaidiana nyakati zote, jinsia yoyote...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Wakuu habari yenu, Mi ni kijana wa miaka 30 natafuta mrembo wa kumuoa awe mweupe asiye tumia mkorogo wa aina yoyote niko tayari kumpa hata zawadi ya gari kama ataridhia kuwa na mimi awe anaanzia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi mdada wa miaka 35-38 natafuta mwanaume/mkaka matured wa kubadilishana mawazo and who knows what next; mimi ni graduate, mwajiriwa , mkatoliki nategemea naye awe na walau mwelekeo huo. Kama...
5 Reactions
72 Replies
7K Views
Hello wapendwa, Natafuta rafiki wa kike mwenye upeo wa kimaendeleo awe na age kati ya miaka 20-25, aliye tayari anifollow in box ili Tuwasiliane.Thanx to you all
0 Reactions
3 Replies
901 Views
Mimi ni kijana miaka 35, nimeachana na mke wangu miezi michache ilipita. Nina watoto 2, Ninahitaji mwanamke wa kabila lolote but specifically awe mkristo miaka 20 - 30. Awe na shepu kiasi, mcha...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natafuta mpenzi baadae awe mke mwenye umri kati ya 24-28, urefu angalau 165 cm, kabila lolote, dini Mkristo. Mwenye degree na kazi atapewa kipaumbele. PM if your interested
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Habari zenu wakuu, Nimekumbuka sana barua za kiswahili zilizokuwa zikiandikwa kwa umaridadi huku zimepambwa kwa maua ya rangi mbalimbali, mfano :A S kiss::A S-heart-2:. Sasa nataka kurudia huu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa kiume umri wangu miaka 24, nipo Dar es salaam. Natafuta msichana yeyote mzuri mwenye umri kati ya 18~24 kwa ajili ya mahusiano baadae ndoa. Mwenye kuhitaji ani pm tupange yetu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta mpenzi wa kike awe na umuli miaka 18 sichagui dini wala kabila kwa msichana yeyote yuko tayari. Anicheki kupitia no 0657829496
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom