Habari Wakuu,
Najitokeza kutafuta mke wakuoa, mimi ni mwanaume rijali naishi Dar. Sifa zangu situmii kilevi chochote. Ni maji ya kunde, mwenye umri wa miaka 32, sina mtoto.
Nimtafutae awe na...
25 ndio miaka yangu, Richie ndio jina langu, Tabata ndio makazi yangu, natafuta mwanamke anayejua thamani ya kupendwa na anayejua kupenda kujali, sichagui umri maana umri ni namba tu.
Kwa...
Kichwa cha habari hapo juu kimeshajitosheleza hivyo kama kuna dada atakayekuwa tayari na kukubaliana na hali yangu hiyo ya kipato na atanivumilia nitafurahi kwani naamini endapo nitampata mwenza...
Mambo,
Natafuta mpenzi wa kike hapa awe ni mkazi wa Mara tu na si vinginevyo. Kwa aliye tayari anitumie namba ya simu pia awe na umri usiopungua miaka 29, ndoa inaweza kuwepo kama tutaelewana.
Sorry,
Mimi natafuta mke humu Jf, nina miaka 24,sichagui dini wala kabila,natumaini kuwa nitampata tutakaependana next namaliza chuo hivyo nahitaji wa kuwa naye am tired 2b alone.
Ndugu zangu UMUHIMU WA TENDO LA NDOA KIAFYA
💕Tendo la ndoa ni moja kati ya mazoezi ya mwili.
Wataalamu wanasema kwamba, unapofanya tendo hilo mara tatu kwa wiki husaidia kupunguza kiasi...
Jamani nimeshapata mwandani wangu wa maisha, so heshima uko PM mambo ya kutumiana message mpaka saa nane za usiku mwisho, baby wangu ana wivu, najua mtachonga sana mie nshakufa nimeoza...
Hello guys,
Mimi ninaitwa Brayan ninatafuta mpenzi ambaye ndiyo nitakae muoa kabisa, ila awe anajielewa na yuko tayari awasiliane na mimi kwa number:+255719559199 au +44701185693.
Mahmoud ndio jina langu sina maneno mengi kama hitajio langu linavyo jieleza. Awe na sifa zifuatazo;
-Mkarimu
-Muislam au awe tayari kubadili dini kwa dhehebu jingine
-Umri 16-22
-Elimu kuanzia...
Wandungu,
Nimechoka upweke na wakati huko Rombo naweza pata kisu cha maana moyoni mwangu. Muhusika chungulia pm tuzoze. Kama huusiki fanya kama hujaona hivi! Alafu itakua poa kuliko kudondosha...
Hodi humu ndani,
Wadau kwa heshima nawasalimu woote, mimi nina umri wa miaka 29,kwa makabila mama ni Mpare wa Same na baba ni Mnyamwezi wa Sikonge Tabora.
nimezaliwa tabora na kukulia huko.Ila...
Hellow,
Natafuta marafiki wa kike wa kuchati nao.
Wenye umri wa miaka 17-21.
Mimi ni wa kiume(ME)
Aliyetayari ani PM namba yake kwa mawasiliano zaidi.
Asanteni.
Kama wewe ni mdada unayejitambua upo mpweke au umeumizwa sana naomba kampani yako ya ku chat, outing na kubadilishana mawazo.
Please uwe serious umri wangu miaka 29 number 0713644485
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.