Singwa
Member
- May 26, 2011
- 65
- 25
Mimi ni kijana miaka 35, nimeachana na mke wangu miezi michache ilipita. Nina watoto 2, Ninahitaji mwanamke wa kabila lolote but specifically awe mkristo miaka 20 - 30.
Awe na shepu kiasi, mcha Mungu, mrefu wastani, elimu kuanzia degree hadi PhD, asiwe mlevi au mvuta sigara. Awe tayari kuishi popote Tanzania au nje ya nchi. Awe na uwezo wa kujiongoza na kujisimamia.
Ni PM kwa makubaliano tafadhali
Awe na shepu kiasi, mcha Mungu, mrefu wastani, elimu kuanzia degree hadi PhD, asiwe mlevi au mvuta sigara. Awe tayari kuishi popote Tanzania au nje ya nchi. Awe na uwezo wa kujiongoza na kujisimamia.
Ni PM kwa makubaliano tafadhali