Mimi nahitaji mwanamke aliyeko serious kwa ajili ya kuoa, elimu yangu ni degree, umri ni 27yrs.
Sifa za mwanamke ninayemuhitaji
Awe muislam
Awe na elimu kuanzia form four
Awe na umri kuanzia...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 naelekea 27, kabila msukuma, dini mkiristo, elimu ya kawaida, kazi mjasiriamali.
Makazi kwa sasa niko kahama ila soon nitakuwa Dar. Mwanamke ninayemhitaji...
Wanawake ukweli ni kwamba hakuna mwanaume anayetaka kuwa na Six Packs ili a date na mwanamke mmoja tu.. Ukiona mwanaume ana Six Packs maana yake anataka kuvutia wanawake wengi..
Ungejua Kazi...
Wajameni mimi huyu mtoto jinsi siku zinavyozidi kwenda ndio nazidi kumuwaza na ku-imagine vitu mbali mbali sijui nitampataje.
Pls!! usije dnt bring polits and hate posts in this thread lets enjoy...
Ni maisha niliyochagua, nataka niishi hivyoo.
Baada ya msichana wangu kugoma kuzaa bila kuoana, sasa nimeamua kuachana na suala linaloitwa ndoa. Ni Mkataba wa miaka 3.
Nataka mwanamke wa kuzaa...
Mimi ni kijana wa miaka 30 nimeajilriwa natafuta msichana wa kuoa anayejielewa awe na miaka 20-28 awe na shughuli inayomwingizia kipato aliye tayari tuwasiliane pm
Natafuta mume ambae yuko serious ani pm
Nina 42 nina watoto mume wangu amefariki miaka 5 iliyopita
Nimejiajiri, najiona mpweke sina kwa sasa nahitaji mwenza
Mkristu na anaemuogopa Mungu
Ila...
Naitwa john Rusaku Nina miaka 27,
Napenda sana maisha ya ndoa,mwenyezi mungu alinijalia nikapata kazi serikalini,ila wanawake wote walionipenda walikuja wakiwa kimasilahi maana...
Christian girl age U24 to marry, regardless tribal, race, height, and location but slim and committed.
don't PM just text via 0783 745 260.
I am 27 slightly black and slim tall, lives and working...
Nina umri wa miaka 31,natafuta mwanake wa kujenga familia kama mke na mme.sifa awe na umri Kuanzia miaka 22_28,awe mrefu,mcha Mungu pia awe na uhitaji was kuolewa.
Alie tayari anichek pm.
[SIZE=3]Nimekaa nimewaza sana jinsi ya kumpata wa kuyajenga nae maisha na mengineo nikaona hapa ndo mahali pake,
Haya ni PM basi uje tuyajenge wote pengine tunaeza endana tukafikia lengo.
Wadau wa jukwaa hili napenda kujua machache kwa wale waliopata wenza wao kupitia jukwaa hili!
Ulimpata ambaye alikidhi vigezo vyako vyote au uliamua kukubaliana kwa kuwa ameonesha nia?
Kwa...
Katika vitu ambacho sitakuja kujaribu ni kushika na kuangalia simu ya mpenzi wangu wala yeye haruhusiwi kishika yangu..Maana spendi matatizo naskia karbia kila siku watu wanalia kuhusu simu za...
Mimi ni kijana wa kiume, nina miaka 30. Nimehitimu elimu ya Chuo Kikuu ngazi ya Uzamili. Kazi ni Mhadhiri na ninaishi Mwanza.
Wana JF, natafuta mchumba mwenye umri usiozidi miaka 30 na...
Mimi ni kijana wa kiume, nipo single, nimeajiriwa serikalini. Nina miaka 33. Natafuta mke. Awe na umri chini ya miaka 35. Sichagui dini. Kwa yeyote atakaekuwa tayari tuwasiliane 0689027050
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28. Kazi yangu ni mfanyabiashara wa kawaida. Naishi DSM. Nahitaji mwanamke mwenye umri tajwa hapo juu.
Mwanzo nilikuja na...
Hello,
Natumaini wote mko salama kabisa, husika na kichwa cha habari hapo juu
Naitwa Mohamed, naishi Ilala Ukonga, umri miaka 29. Elimu yangu ni ya shahada ya kwanza, nafanya kazi katika kampuni...
Kijana wa miaka 26 nipo Mbeya natafuta mke wa kuoa, kabila lolote asizidi elimu ya kidato cha 6 mengine tutayajadili, nitext au WhatsApp yangu 0759201441
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.