Njoo tuyajenge maisha

Njoo tuyajenge maisha

Mbuzi Mzee

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2015
Posts
348
Reaction score
85
Nimekaa nimewaza sana jinsi ya kumpata wa kuyajenga nae maisha na mengineo nikaona hapa ndo mahali pake,
Haya ni PM basi uje tuyajenge wote pengine tunaeza endana tukafikia lengo.
 
Kujenga kwani gharama ngap jaman? andaa materials mie fundi ila msingi tujenge pamoja
 
This's beautiful my angel na usisahau kuwajuza kwamba ndani kabisa ya moyo wako ndimo kuna makazi yangu ya kudumu!

maneno yote umemaliza laa zizi mahbuba nitakachofanya nitayarudia na kwa herufi kubwa kuonesha msisitizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom