Never date a guy with Six Packs

Never date a guy with Six Packs

Tuwaseme

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
645
Reaction score
1,197
Wanawake ukweli ni kwamba hakuna mwanaume anayetaka kuwa na Six Packs ili a date na mwanamke mmoja tu.. Ukiona mwanaume ana Six Packs maana yake anataka kuvutia wanawake wengi..

Ungejua Kazi anayopata mwanaume mpaka awe na Six Packs ungeamini maneno yangu..

Ni Kama vile mwanaume kuwa na mwanamke anayeongeza Makalio. Mwanamke akiongeza makalio maana yake anataka kuvutia wanaume wengi.. Hawezi mwanamke kukubali kupata shida zote zile za kuongea makalio (ana risk ya kupata hata Cancer) ili awe na ww peke yako.. Kitu kama hicho hakuna..
 
Kuna watu wana 8 pack na ana msichana mmoja,kuwa na wasichana wengi muda mwingine ni ulevi ambao mwanzoni huanza kama sifa mwisho wa siku huwezi kujizuia tena
 
Nina six pack na nna mke mmoja tuu?
 
Wanawake ukweli ni kwamba hakuna mwanaume anayetaka kuwa na Six Packs ili a date na mwanamke mmoja tu.. Ukiona mwanaume ana Six Packs maana yake anataka kuvutia wanawake wengi..

Ungejua Kazi anayopata mwanaume mpaka awe na Six Packs ungeamini maneno yangu..

Ni Kama vile mwanaume kuwa na mwanamke anayeongeza Makalio. Mwanamke akiongeza makalio maana yake anataka kuvutia wanaume wengi.. Hawezi mwanamke kukubali kupata shida zote zile za kuongea makalio (ana risk ya kupata hata Cancer) ili awe na ww peke yako.. Kitu kama hicho hakuna..
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji14]
 
6 pack...kwanza ni faida ya mwili kwanza lazima ufanye mazoezi yenye kuhuma....haya na wanaoongeza msambwanda wanagain nini kama sio kujihatarishia afya zao....???..
wanaume tukatae vitambi.....
 
Wanawake ukweli ni kwamba hakuna mwanaume anayetaka kuwa na Six Packs ili a date na mwanamke mmoja tu.. Ukiona mwanaume ana Six Packs maana yake anataka kuvutia wanawake wengi..

Ungejua Kazi anayopata mwanaume mpaka awe na Six Packs ungeamini maneno yangu..

Ni Kama vile mwanaume kuwa na mwanamke anayeongeza Makalio. Mwanamke akiongeza makalio maana yake anataka kuvutia wanaume wengi.. Hawezi mwanamke kukubali kupata shida zote zile za kuongea makalio (ana risk ya kupata hata Cancer) ili awe na ww peke yako.. Kitu kama hicho hakuna..
Wengine tumezaliwa nazo izo cxpk kwaiyo ww unawafanya madem zetu wasituamini tuombe radhi kwanza
 
No woman can choose six packs instead of six cars....Mugabe
 
Mwanamme Suruali

Mwanamme 6 pack

Mwanamme kama bint

Mwanamme gani

Mwanamme sharo

Mwanamme muuza sura

Mwanamme shoga

Sisi wanaume tuna Hatari.
 
Wanawake ukweli ni kwamba hakuna mwanaume anayetaka kuwa na Six Packs ili a date na mwanamke mmoja tu.. Ukiona mwanaume ana Six Packs maana yake anataka kuvutia wanawake wengi..

Ungejua Kazi anayopata mwanaume mpaka awe na Six Packs ungeamini maneno yangu..

Ni Kama vile mwanaume kuwa na mwanamke anayeongeza Makalio. Mwanamke akiongeza makalio maana yake anataka kuvutia wanaume wengi.. Hawezi mwanamke kukubali kupata shida zote zile za kuongea makalio (ana risk ya kupata hata Cancer) ili awe na ww peke yako.. Kitu kama hicho hakuna..
Mimi Nina 12 packs na wake wawili kila jambo Huwa ni Nia kufanya mazoezi wanawake wakuone utaishia kukanumbwa tu
 
Says who? How you look does not determine if you gon' be a hoe or not.

You can be ugly af and be a damn hoe and on the other hand be so fine and loyal.
 
Back
Top Bottom