siku ya mtoto wa Afrikanda

siku ya mtoto wa Afrikanda

ragin

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,391
Reaction score
9,382
habari ya weeked!!!
katika kuadhimisha siku hiyo hebu tukumbuk kidogo huko nyuma tulipokuwa wadogo (watoto) kama wa kiafrika.
je ni jambo gani utawashukuru , pongeza, laumu au hata kuto kusahau kitu kutoka kwa wazazi wako au hata walezi pia walichokufanyia mpaka kufikia hatua ya utu uzima (kujitegemea kimaisha na kimaamuzi pia) .

binafsi nawapongeza kwa kunipigania nisome kwa bidii ili nitofautishe elimu ya darasani na ya maisha (kitaa).

nawasilisha.
 
habari ya weeked!!!
katika kuadhimisha siku hiyo hebu tukumbuk kidogo huko nyuma tulipokuwa wadogo (watoto) kama wa kiafrika.
je ni jambo gani utawashukuru , pongeza, laumu au hata kuto kusahau kitu kutoka kwa wazazi wako au hata walezi pia walichokufanyia mpaka kufikia hatua ya utu uzima (kujitegemea kimaisha na kimaamuzi pia) .

binafsi nawapongeza kwa kunipigania nisome kwa bidii ili nitofautishe elimu ya darasani na ya maisha (kitaa).

nawasilisha.
uzi ulikosa comments huu ngoja niuondolee gundu.ingawa sijausoma
 
Back
Top Bottom