Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari zenu wadau, Nimekuja kwenu mara nyingine, rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia nitampenda na kumlinda, sifa zangu umri 25, mkristo, kazi nafanya kazi ya...
6 Reactions
103 Replies
11K Views
Habari za majukumu wana JF, Natafuta mwanamke aje kuwa mke kama tutaridhiana. Sifa; Elimu form4 au zaidi au ajue kusoma na kuandika Maji ya kunde au mweupe kiasi Mkristo Umri 20-25 Awe hujawahi...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari, Nilipitia maumivu makali sasa nimepona na nimeamua kurudi kwenye game, Nina 30 years old Nina degree Sijaariwa ila nimejiajiri(sipendi kuajiriwa) Nina kipato cha kutosha watu wawili...
2 Reactions
68 Replies
4K Views
Mimi nina 27yrs. Mchaga. Nina diploma. Mimi siangalii sana muonekano wa nje awe na 30+yrs. Mkristo. Muajiriwa/aliyejiajiri. Naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi.
18 Reactions
133 Replies
30K Views
Natumain mpo wazima ndugu na jamaa kama kichwa cha hii topic kinavyojieleza hapo juu Mm ni kijana wa kiume natafuta rafiki wa kike kwajiri ya kubadilishana mawazo Kwa yeyeto ataevutiwa na hili...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Namnukuu alipoulizwa na baba, mbona uoi umri unaenda? akajibu bado natafta mwanamke mweny sifa zifuatazo; 1. Umri usizidi 27 2. Awe anasoma (last yaear) au amesoma na kuajiriwa kada za afya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu habarini za jioni, Mimi ni mwanaume umri wangu miaka 32, ninahitaji mwanamke mwenye umri kuanzia miaka 24 mpaka 31. Kabila lolote isipokua Mzaramo, Mkwere na Mbulu. Kwa alietayari karibu...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 27 nimeajiriwa mweupe mkristo Mrefu. Nahitaji mke awe mwenye elimu yeyote ile asiwe pimbi portable mwenye uhitaji kama wangu ani PM au ani tumie SMS 0713984163 Sent using...
0 Reactions
1 Replies
545 Views
✌ADVERT CLOSED✌ Thanks to all who showed cooperation
5 Reactions
46 Replies
4K Views
Amani ya bwana iwe nanyi wanabodi, Nakuja kwenu kuwajulisha kuwa muda wangu wa kuoa umefika na nahitaji mke mwema. Inshallah mke mwema hutoka kwa Mungu. Umri wangu : 28 Elimu: Bachelor degree...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Natafuta mwanaume, Mungu akipenda tuwe mume na mke. Sifa; -Ajiamini, -Umri 28-35, -Elimu kuanzia degree ya kwanza ila kama anajiamini hata form six inatosha. -Awe amejiajiri au ameajiliwa...
2 Reactions
56 Replies
8K Views
Salaam wandugu nmechoka kuwa lonely na nnaona huu ni muda muafaka wa mm kuwa na familia so natafuta mwanaume alie serious na alie na uhitaji kama wangu -Nna 28yrs -Black in colour -Ni mkristo...
5 Reactions
63 Replies
7K Views
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26 nina stashahada ya uuguzi alie serious anaweza kunipm.
9 Reactions
45 Replies
7K Views
Naitwa Josephine kabila langu ni Mhaya, nimemaliza chuo nimejiajiri natafuta mwanaume awe na umri kati ya 30 kuendelea mi nina 25. Jamani nipo serious sihitaji mzaha. Sent using Jamii Forums...
4 Reactions
68 Replies
10K Views
Heshima yenu wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, NATAFUTA RAFIKI WA KIKE lengo aje kuwa mke baadae, awe na sifa hizi. ■understanding ■knowledgable ■umri 23-27years ■Mkristo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Vigezo Asiwe Na mtoto, elimu kuazia ngaziiii ya CHETI , umri 20-26. Dini mkristo 0719021445 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
963 Views
Saleh Ramadhani umri wangu miaka 26 naishi Dar Gongo la Mboto nina mtoto 1 natafuna mpenzi/mwanamke mwenye mtoto awe na umri 18-26, mimi ni mjasiriamali nimejiajiri kwa aliyetayari tuwasiliane kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ok
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Natoa ushuhuda wa kutolewa knock out na binti mdogo kabsaaaa pamoja na kwamba nilimwomba japo nimzame chumvini tu ila tutafanya cku nyingine kwa matumaini ya kumlegeza lakini wapi, niliambulia...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza. Wasifu wangu jinsia: Mwanaume, Umri miaka 32, Elimu: Diploma, Kipato: cha Chini, halali. Ajira: binafsi. Makazi: Njombe, ila safari Iringa, Moro, Dar mara kwa mara...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom