Muheza 1
Senior Member
- Aug 2, 2017
- 133
- 152
Amani ya bwana iwe nanyi wanabodi,
Nakuja kwenu kuwajulisha kuwa muda wangu wa kuoa umefika na nahitaji mke mwema. Inshallah mke mwema hutoka kwa Mungu.
Umri wangu : 28
Elimu: Bachelor degree
Dini : Roman Catholic
Kazi : Nimejiajiri Kariakoo Dar
Ni mrefu maji ya kunde.
Mke anayehitajika
Umri :18 -28
Elimu iploma -degree
Dini :yoyote
Kazi :ameajiriwa au amejiari
Awe mrefu na mweupe
Asiwe na mtoto.
Please niko serious na kama huna vigezo hivyo usijisumbue kunitafuta.
Kwa aliye tayari anakaribishwa tuyajenge na Mungu akipenda ifuatie ndoa.
Jumapili njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja kwenu kuwajulisha kuwa muda wangu wa kuoa umefika na nahitaji mke mwema. Inshallah mke mwema hutoka kwa Mungu.
Umri wangu : 28
Elimu: Bachelor degree
Dini : Roman Catholic
Kazi : Nimejiajiri Kariakoo Dar
Ni mrefu maji ya kunde.
Mke anayehitajika
Umri :18 -28
Elimu iploma -degree
Dini :yoyote
Kazi :ameajiriwa au amejiari
Awe mrefu na mweupe
Asiwe na mtoto.
Please niko serious na kama huna vigezo hivyo usijisumbue kunitafuta.
Kwa aliye tayari anakaribishwa tuyajenge na Mungu akipenda ifuatie ndoa.
Jumapili njema.
Sent using Jamii Forums mobile app