Natafuta mwanaume wa kunioa

mimi nina 27yrs
mchaga
nina diploma..
Mimi siangalii sana muonekano wa nje...awe na 30+ yrs
mkristo
muajiriwa/aliyejiajiri
naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi .

vigezo vyote ninavyo ila kabla sijaja huko PM uniambie hiyo diploma ni ya nini ili nijue nachukua mzigo wa aina gani lakini kama ni diploma ya mifugo na uvuvi kung'uta like nije fasta ukakae shambani kwetu tujenge familia
 
mimi nina 27yrs
mchaga
nina diploma..
Mimi siangalii sana muonekano wa nje...awe na 30+ yrs
mkristo
muajiriwa/aliyejiajiri
naomba yule aliyeserious aniPM tufahamiane zaidi .

Africa Safari 8 Days.jpg
9 Days Tanzania Camping.jpg
Africa Safari 8 Days.jpg


NIKO HAPA BONGE LA MUME

9 Days Tanzania Camping.jpg

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom