Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari zenu natafuta mchumba nimechoka upweke from 25-35 female. Mimi ni mwanaume nina miaka30 kwa walioserious tu nakuruhusu kuja pm.Mengine tutadiscuss. Thanks in advance. Sent using Jamii...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu waungwana mimi ni mwanaume wa miaka 31 nimeajiliwa natafuta mchumba ambaye baadae atakuwa mke awe na elimu kuanzia kidato cha nne umri kuanzia miaka 23 aliye interest tuwasiliane pm...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
mimi ni mwanaume wa miaka 31 nimeajiliwa serikalini natafuta mchumba wa kike wa kuoa awe na umri wa miaka 24-26 elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea aliye interested tuwasiliane pm
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwanamke aliye na mapenzi ya dhati,mcha Mungu(muislam),mtafutaji,elimu level yoyote kuanzia ngazi ya secondary,kama ana kazi ni added advantage,mm ni muajiliwa serikalini nna ishi nje kdgo ya jiji...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 31nimeajiliwa serikalini nipo Dar natafuta mchumba wa kike kwa ajili ya kuoa hapo baadae awe na umri 24 -26 elimu kidato cha nne kuendelea, aliye interested tuwasiliane pm.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naitwa karry,nna miaka 23,binti wa kitanzania mwenye rangi ya maji ya kunde na urefu wa fut 5...nywele urefu wa mabega, si mnene wala mwembamba, sio mrembo lakini navutia,sina mpenz wala...
3 Reactions
62 Replies
8K Views
Nahitaji rafiki aliye arusha bila kujali jinsia yake. 0713563660 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
996 Views
Acheni utani kueni serious, wengine ni kweli wanatafuta wenza na marafiki wengine wanafanya utani acheni jamani kuna watu wanashida kweli. Post sent using JamiiForums mobile app
3 Reactions
5 Replies
892 Views
Serious please. Age: 21-26. Education: Not necessary. Tribe: Any. Marital status: Any. *ADDITIONAL QUALIFICATIONS:* Uwe mfupi au mrefu kiasi. Usiwe na mtoto, na kama unaye, basi mmoja na si...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
naitaji mwanaume wa kuishi uchumba mpaka ndoa ndani ya miezi sita. awe mrefu 6 awe mkristo awe na kazi alali inayoweza tunza familia. kabila lolote asiwe dikteta ajue aneyeenda ishi naye ni mke...
5 Reactions
77 Replies
8K Views
Nina umri wa miaka 23. Kazi yangu mfugaji nipo Bariadi. Elimu yangu darasa la saba..lakini sitofautiani na mwenye PHD. Dini yangu mkristo. Kijana mrefu mweusi kiasi. Kabila langu msukuma wa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri 25 ninapenda Sana nipate mwanamke ambaye yupo tayari kuwa na Mm Mm ni mwajiriwa Kuhusu dini sichagui dini wala kabila umri kuanzia miaka 18 mpaka22 Uko tayari nipm...
0 Reactions
2 Replies
944 Views
Habari za usiku huu wana JF, Tangu nijiunge na JF nimebahatika kuona thread kadhaa za wanaume walioleta mrejesho baada ya kutangaza kutafuta mke japo wengine wamepotea bila kurudi lakini miongoni...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanajanvi, Namkaribisha Pm mwanamke aliyetayari kwa moyo wake wote na siyo kwa kujaribu, awe mweupe wastani, mrefu, mwembamba na elimu kuanzia form six na kuendelea. Sifa zangu mimi ni...
0 Reactions
2 Replies
806 Views
Naitwa Loveness Senzigwa nipo Usariver Arusha nahitaji nipate mchumba mwenye upendo wa dhati, nipo na mtoto mmoja wa kiume umri wake miaka minne, nahitaji mwenza tuweze kuanza maisha dini awe...
0 Reactions
3 Replies
854 Views
Naitwa Selemani niko Dar umri miaka 26 natafuta mchumba awe mfupi kidogo, mnene kidogo, mweupe au maji ya kunde na awe mwelewa na mkweli. Tuwasiliane kwa namba hii 0717188605.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Looking for a girlfriend aged 20-25yrs,, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25,, natafuta rafiki wa kike,, kwa aliye tayari anicheki kwa simu Namba 0744554155.. Dini Yeyote, elimu Yeyote
0 Reactions
3 Replies
728 Views
Mimi ni mwanaume wa miaka 31 nimeajiriwa natafuta mchumba ambaye atakuja kuwa mke awe na miaka 21 mpaka 26 elimu kuanzia kidato cha nne asiyejichubua aliye interest tuwasiliane pm plz. Sent using...
0 Reactions
3 Replies
948 Views
Baadhi ya makosa yanayofanywa na baadhi ya wanawake katika mahusiano na kufanyo yasidumu..... Zipo sababu mbalimbali ambazo huchangia mahusiano mengi ya kimapenzi kufa, na miongoni mwa tabia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa kwel kila kitu mazoea, yan kidume kila akivaa salama dude chaliiii! Na na demu kakomaa kitu kavu haendi! Usku mwema Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
946 Views
Back
Top Bottom