Wadau,
Mimi mwanaume, natokea Kenya, Nairobi Lakini niko na encounter kadhaa za bongo ila mimi sio mswahili so Msijali lugha yangu sana.
Nawaheshimu watu wa TZ kwani wengi ni watu wa heshma...
Mimi ni mwanamume mcha Mungu(mkristo), natafuta mwanamke wa kuoa , umri wangu ni miaka 30+, natafuta mtu ambae ana miaka ishirini na kuendelea, kwa mwanamke ambae upo serious ani pm, ila pia mimi...
Nina mwanamke ambae natarajia kumuoa cku za usoni.lkn Luna jambo ambalo linanitia shaka kwake!! Yaani Mara nyingi amekua akiniambia kuwa wanaume wengi wanamtaka na wengine wanataka kumuoa...
Husika na kichwa habari hapojuu.Nina mke na watoto natafuta mwanamke aliyetayari Kwa mapenzi tu aliyekua na stress kama Mimi ilitufarijiane sihitaji kuoa just mapenzi tu aliyekua tayari aje...
Jamani nyie masister duuu! Wa DAR fuen sindilia zenu kweny makwapa znatia kinyaaa!
Haiwezeka mpke wanja alafu sindilia na chupi zina madoa na harufu ya mbege!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni binti wa miaka 24 elimu yang kidato cha 6, sina kazi naish tu home Dar es Salaam na wazazi wangu natafuta mchumba aje kuwa mume.
Sifa;
Aweze kunipenda
Awe mcha Mungu
Alietayari kuoa sio...
Jamani....
Nikiwa safari kuelekea Nairobi nilifanikiwa kuonana na mama mmoja Mchaga aliyefanikiwa sana. Ana hoteli Arusha, Moshi na pia ana export kahawa.
Nilijiuliza sana huyu mama amewezaje...
Kwa jina ninaitwa BENJAMINI ELIAH ninahitaji mchumba ambaye atakuwa mke wangu sifa zake Awe mkristo, .Awe mweupe, Awe na umri kuanzia 18-25, Awe mvumilivu, urefu asizidi ft 5.2 Kwa taarifa...
Ni hivi wanawake wengi hudhani kwamba majukumu Yaliyompeleka kwa mume ni kumpikia, kumfulia na kusafisha nyumba.
Wanasahau kabisa kuwa lile tendo ndo kiunganishi kikubwa..!
Unakuta mwanamke...
Nina miaka 30 nakaa Dar, elimu yangu diploma ya business administration, mm ni mweupe wastani, mrefu wastani na mwembamba wastani, sina motto na wala sijawahi kuoa. Nafanya kazi japo sio nzuri...
Mimi ni kijana miaka 27, nina degree, nimeajiriwa natafuta mchumba miaka 18-22 awe mweupe, umbo la wastani, dini mkristo, elimu yoyote ile aliyonayo.
Aliye tayari anitafute inbox. Kwa wengine...
Mimi naitaji wife material nipo serious kbsa vigezo na mashart kuzingatiwa umri wangu ni miaka 30 ni muajiriwa kwenye private sector.so mwanamke ninae mtaka lazma awe na umri kuanzia miaka 29 mpk...
God is great kwakweli.
As I searched for mume mume, I thank his aboundant blessings over me.
He gave me a gently and wonderful man ever met before.
We are in the early stage of malovee but...
Mimi ni msichana umri wangu ni miaka 28,nahitaji mwanaume ambae mungu akijaalia awe mume wangu wa ndoa.
Ni baada ya kukaa mda mrefu bila ya mahusiano... Awe tayari kuwa nami kwa shida na raha...
Hello, I'm not sure if we are getting some visitors out of our Zone, I mean Out of East Africa there, I'm Mad confidential to Tell you that am an intermediate English learner i do lots of Things...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.