Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mwanaume wa miaka 48 natafuta mke wa kuoa umri wowote awe mrefu awe mwembamba awe mweupe. Mimi ni maji ya kunde nina urefu wa futi 5 na inchi 7 maji ya kunde slimbody nipo Dar nipo...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Jaman mwezenu naulizia kama naweza pata mke humu ndani My age:-30yrs Colour :- black ila c kama mkaa. Religion:- christian Hobby:- listening praise & worship songs Employer:- GOVERNMENT Sifa za...
1 Reactions
0 Replies
768 Views
Nimewahi kuwa na ndoa mbili kila moja kwa wakati wake, ambazo hazikufanikiwa tukaishia kuachana na hao kina mama. Kwa kweli nashuhudia skupata wasaidizi ila nilipata warembo tu wasio na utu, I was...
5 Reactions
57 Replies
5K Views
Mm ni mdada nina miaka 29 naishi kanda ya ziwa. Ninatafuta mume.. Kwa imani kuwa mwenza anapatikana pole. Wasifu wangu: Mrefu shape ya wastani sio mnene wala mwembamba. Rangi maji ya kunde...
4 Reactions
59 Replies
10K Views
Habari wanajamvi, Natafuta marafiki aged 25 mpaka 30 kwaajili ya mitoko hasa siku za wikiend kwenda clubs mbalimbali au sehemu yeyote ya bata kama kula kunywa nakadhalika. Nimekua na marafiki...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Hellow,I'm a guest Carsian is my name. Year of birth 1983 Eye color Black Hair color Black Weight 64kg Height...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakubwa habari za usiku huu Nimeamua kuachana na mke wangu rasmi leo hii tarehe 17 Nov 17 daa 22:59 siku ya ijumaa baada ya kumwona mke wangu anamaneno machafu na asiyekuwa mnyenyekevu Kwa sasa...
1 Reactions
55 Replies
5K Views
Habari za wote humu ndani, Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced. Nimekaa miaka mitatu single...
17 Reactions
281 Replies
31K Views
Habari wapendwa nimekuwa na ndoto ya kuoa mzungu jamani sasa sijui hawa wazungu wanavutiwa na vitu gani sana sana ili nifanikishe hili niweke toto la kizungu ndani sina lengo la kulelewa mimi...
3 Reactions
31 Replies
9K Views
Habari za muda huu ndugu zangu Wana-JF, Kama ilivyo asili kwamba mwanadamu atazaliwa, atanyonya, atatambaa, atasoma na kufanya vitu vingine, lakini kwa mapenzi yake Mungu Muumba wa mbingu na nchi...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habarini humu! Mimi Naitwa sky zone. Nimependa kujumuika humu! Nimeona nimtafute mwanamke asiye na mume na awe tayari kushare maisha pamoja bila kuchanganya mafiles (yaani Ajitahidi kutoruka...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nafatauta mpenzi wa kike atakaye kuja kuwa mke. Sifa: Asiwe mwembamba :Asizidi miaka 30 :asiwe mweusi sana : Kabila lolote Kama yupo ani Pm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadada wapweke njooni kwangu,umri,dini na kabila lolote
0 Reactions
5 Replies
2K Views
hello girls!!! Mimi ni mwanaume wa miaka 33,nimeajiriwa,msomi wa degree ya pili,smart,medium sized body,mstaarabu.Natafuta msichana ambaye atakuwa mke wangu!, awe na mwonekano mzuri,tabia...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari zenu, Nimekuja kwenu . Nimechoshwa na upweke. Mimi ni msichana wa 27years, natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda. Sifa zake; Awe na miaka kuanzia...
4 Reactions
101 Replies
10K Views
Namtafuta mpenzi. Naishi moshi - Kilimanjaro. Aje PM, nina miaka 28. Awe Ready kupima na kutumia condom mwanzo mwisho. Karibu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Umri wangu ni miaka 35 nimeajiliwa wizara moja serikalini mwaka wa tatu huu. Natafuta mchumba wa kumuoa mwenye umri kuanzia miaka 20 mpaka arobaini awe na khofu ya Mungu, msikivu, msafi na mke...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38 Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi. Waume za...
11 Reactions
100 Replies
8K Views
Kama Heading inavyosema....Natafuta Mwanamke wa Kumuoa! Sifa zangu dini: Mkristo Mkoa:Arusha Elimu: Darasa la Tano (Nilikataa shule) Rangi: Sio mweupe sana Umri :22 Sifa za Nimtakaye! Dini...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habarini, wanaJamii, Mimi ni msichana umri 28_30, ni mkristo, nina elimu ya Chuo kikuu, nina tafuta mume mkristo mwenye hali kam yangu, awe na miaka kati ya 30_40. MWENYE SIFA ZIFUATAZO: Awe ana...
1 Reactions
20 Replies
7K Views
Back
Top Bottom