Mimi ni mwanaume wa miaka 48 natafuta mke wa kuoa umri wowote awe mrefu awe mwembamba awe mweupe.
Mimi ni maji ya kunde nina urefu wa futi 5 na inchi 7 maji ya kunde slimbody nipo Dar nipo...
Jaman mwezenu naulizia kama naweza pata mke humu ndani
My age:-30yrs
Colour :- black ila c kama mkaa.
Religion:- christian
Hobby:- listening praise & worship songs
Employer:- GOVERNMENT
Sifa za...
Nimewahi kuwa na ndoa mbili kila moja kwa wakati wake, ambazo hazikufanikiwa tukaishia kuachana na hao kina mama.
Kwa kweli nashuhudia skupata wasaidizi ila nilipata warembo tu wasio na utu, I was...
Mm ni mdada nina miaka 29 naishi kanda ya ziwa. Ninatafuta mume.. Kwa imani kuwa mwenza anapatikana pole.
Wasifu wangu:
Mrefu shape ya wastani sio mnene wala mwembamba. Rangi maji ya kunde...
Habari wanajamvi,
Natafuta marafiki aged 25 mpaka 30 kwaajili ya mitoko hasa siku za wikiend kwenda clubs mbalimbali au sehemu yeyote ya bata kama kula kunywa nakadhalika.
Nimekua na marafiki...
Wakubwa habari za usiku huu
Nimeamua kuachana na mke wangu rasmi leo hii tarehe 17 Nov 17 daa 22:59 siku ya ijumaa baada ya kumwona mke wangu anamaneno machafu na asiyekuwa mnyenyekevu
Kwa sasa...
Habari za wote humu ndani,
Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced.
Nimekaa miaka mitatu single...
Habari wapendwa
nimekuwa na ndoto ya kuoa mzungu jamani sasa sijui hawa wazungu wanavutiwa na vitu gani sana sana
ili nifanikishe hili niweke toto la kizungu ndani
sina lengo la kulelewa mimi...
Habari za muda huu ndugu zangu Wana-JF,
Kama ilivyo asili kwamba mwanadamu atazaliwa, atanyonya, atatambaa, atasoma na kufanya vitu vingine, lakini kwa mapenzi yake Mungu Muumba wa mbingu na nchi...
hello girls!!! Mimi ni mwanaume wa miaka 33,nimeajiriwa,msomi wa degree ya pili,smart,medium sized body,mstaarabu.Natafuta msichana ambaye atakuwa mke wangu!, awe na mwonekano mzuri,tabia...
Habari zenu,
Nimekuja kwenu . Nimechoshwa na upweke.
Mimi ni msichana wa 27years, natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda.
Sifa zake;
Awe na miaka kuanzia...
Umri wangu ni miaka 35 nimeajiliwa wizara moja serikalini mwaka wa tatu huu.
Natafuta mchumba wa kumuoa mwenye umri kuanzia miaka 20 mpaka arobaini awe na khofu ya Mungu, msikivu, msafi na mke...
Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za...
Kama Heading inavyosema....Natafuta Mwanamke wa Kumuoa!
Sifa zangu
dini: Mkristo
Mkoa:Arusha
Elimu: Darasa la Tano (Nilikataa shule)
Rangi: Sio mweupe sana
Umri :22
Sifa za Nimtakaye!
Dini...
Habarini, wanaJamii,
Mimi ni msichana umri 28_30, ni mkristo, nina elimu ya Chuo kikuu, nina tafuta mume mkristo mwenye hali kam yangu, awe na miaka kati ya 30_40.
MWENYE SIFA ZIFUATAZO:
Awe ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.