Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari, Najitokeza kutafuta mwanaume aliye serious,ninahitaji mume. -Nina miaka 28 -Nina mtoto mmoja -elimu degree moja(IT) -muajiriwa Aliye tayari ani pm.
11 Reactions
70 Replies
10K Views
Ndoa zimekuwa ngumu waume Na wake Wema wanapatikana kwa shida sana.Sasa kwanini humu mtu asiseme natafuta mtu ambaye ana kwake lakini angalau awe anakuja kunitimizia mahitaji ya kindoa japo...
0 Reactions
3 Replies
678 Views
Mwanaume wa 45+ yupo kweli? Ukweli upo hiviiiii!! * Below 45 don't bother yourself ku pm please! * Mkristo * Mpole * Relocate:(! Yawezekana? * Waume za watu don't bother ku pm please!
13 Reactions
156 Replies
11K Views
Habari zenu ndg ! natafuta mwanamke wa kuoa umri kuanzia miaka 23 na kuendelea sichagui dini wala kabila ila lazima awe mikoa ya mwanza mara shy na dodoma hata uwe na mtt usiogope nafanya kazi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napenda kutoa mrejesho kama ifuatavyo... Walijitokeza wasichana karibia wanne kule PM, nilifanikiwa kuonana na mmoja infact ni mwanafunzi ila hakuwa serious kabisa within two days alishaonesha...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za jioni wana jukwaa hili pendwa narudia tena kuwa natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 18 mpaka 25 ... Asiwe mnene sana na mwembambamba sana Awe wa kawaidaa na asiwe wa...
0 Reactions
1 Replies
750 Views
Ahsanteni kwa maswali yenu na michango yenu . Nishampata niliemuona anafaa. Nitawaletea mrejesho mwingine mbele ya safari.
9 Reactions
115 Replies
8K Views
Hamjambo humu Kwa dada aliye free kuanzisha mahusiano let see if tunaweza kuwa Uwe Dar most preferred, umri 25 na kuendelea.. elimu form Four au zaidi na uwe tayari kupima HIV Nawasilisha na karibuni
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hello wana JF. Let’s talk and Chat
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Kama title inavojieleza, natafuta mtu atakae kuwa serious kene mahusiano nami ntapatia Yale mapenzi ya dhati kabisa.... Wasifu wangu........ Chuo mwaka wa pili Mrefu futi 5.8,umri miaka 24 Maji...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Mimi nina umri wa 35.kazi mjasiriamali.sibagui rangi,kabila,elimu wala dini. Nitatoa huduma zote kwa mtoto ikiwemo elimu. Niko tayari kupima ukimwi na wewe uwe tayari kupima . Ni-PM
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Umri wangu;23 Dini yangu;christian Elimu yangu;degree Rangi yangu;black ila cyo km mkaa Kimo changu;160cm Binti awe na umri kuanzia 19-22 itapendeza na mweupe.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini zenu hapa ndani, Nina miaka 26 ila kulingana na umri wangu (mdogo) siwezi kuoa kwa sasa na hivyo nahitaji mdada mzuri wa kuzaa nae tu. Nitagharamia kila kitu kuanzia siku ya kwanza ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu waswahili husema mficha uchi hazai, nami nimeamua kuufuata msemo huu wa wahenga maana naona mambo yanakuwa sio. Am gentleman aged 25 natafta mchumba wa kuyajenga naye na ikibidi kuoana.Awe...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za wanaJF? Mimi ni kijana kitanzania, nipo hapa Dar es Salaam. Baada ya kushughulika na michakato ya maisha, hasa kuweka mikakati mizuri. Sasa muda wa kuoa ndiyo umefika. Sasa ninahitaji...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari za jioni wana jukwaa hili pendwa narudia tena kuwa natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 18 mpaka 25 ... Asiwe mnene sana na mwembambamba sana Awe wa kawaidaa na asiwe wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
  • Closed
Hi guys, poleni na majukumu, Baada ya kuumizwa kwa muda mrefu na mapenzi niliamua kupumzika lkn sasa naona ni muda mwafaka wa mimi kuwa na mahusiano yanaeleweka ikibidi yafikie hatua ya ndoa...
6 Reactions
42 Replies
6K Views
Kama kichwa kinavyojielezea, mwakani Mungu akijalia nitatimiza miaka 27(full-adult man). Ila itakubidi unielewe kama nilivyo mfukoni naunga unga tu maisha pamoja na kujaaliwa kadegree kutoka kile...
0 Reactions
4 Replies
819 Views
Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na...
20 Reactions
163 Replies
22K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, urefu cm175, rangi maji yakunde. Siamini saana juu ya dini but naamini kuna muumba wa vyote. Kabila langu ukinipm utafahamu. Nimeshaambiwa na wasichana...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom