Hata kapicha cha kutuhamasisha,awe mkristo awe na kazi alali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu awe mwelewa ugomvi sipendi awe na umri kati ya miaka 32-38
mi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
waume za watu sitaki, na ukinijalibu sitakujibu
mi nina 22awe mkristo awe na kazi alali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu awe mwelewa ugomvi sipendi awe na umri kati ya miaka 32-38
mi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
waume za watu sitaki, na ukinijalibu sitakujibu
we unadhani kwakuwa naitaji kuolewa nichukue kila anaye kuja siitaji ndoa ya wiki 1 au mwk 1 naitaji ndoa ya maishaNdo maana hujaolewa
endelea kufanya mazoezi ukioa umri uo ukifika miaka 30 ulisha kuwa na wake 2 au zaidi au una watoto mama zao awajulikan wako wapi?mi
mi nina 22
Nina 24 njoo pmawe mkristo awe na kazi alali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu awe mwelewa ugomvi sipendi awe na umri kati ya miaka 32-38
mi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
waume za watu sitaki, na ukinijalibu sitakujibu
Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38
Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi.
Waume za watu sitaki, na ukinijaribu sitakujibu
endelea kufanya mazoezi ukioa umri uo ukifika miaka 30 ulisha kuwa na wake 2 au zaidi au una watoto mama zao awajulikan wako wapi?
we anza kutaja uliolala nao kwanza kisha mi ntakutajia adi majina yao kama unataka ila usiwaloge1. Umri wako
2. Wasifu wako
3. Dini yako
4. Elimu yako
5. Kazi yako
6. Mileage yako ( umewahi kutembea na wanaume wangapi)
7. Sababu zilizopelekea usiolewe na mmoja kati ya uliotembea nao
8. Mahali ulipo
9. Una mtoto/watoto; kama ndiyo baba yuko wapi?
Ukiyajibu hayo maswali utapunguza kadhia ya kuulizwa ulizwa maswali mengi.
NB: ID ya zamani uwe tayari kuitaja kwa atayekuja PM
sina asira, niwe na asila nawe kwani unanitunza anayenitunza ajanichokambona kama una hasira sasa?
we anza kutaja uliolala nao kwanza kisha mi ntakutajia adi majina yao kama unataka ila usiwaloge