Hamjambo humu
Kwa dada aliye free kuanzisha mahusiano let see if tunaweza kuwa
Uwe Dar most preferred, umri 25 na kuendelea..
elimu form Four au zaidi na uwe tayari kupima HIV
Nawasilisha na karibuni
Kama title inavojieleza, natafuta mtu atakae kuwa serious kene mahusiano nami ntapatia Yale mapenzi ya dhati kabisa....
Wasifu wangu........
Chuo mwaka wa pili
Mrefu futi 5.8,umri miaka 24
Maji...
Mimi nina umri wa 35.kazi mjasiriamali.sibagui rangi,kabila,elimu wala dini.
Nitatoa huduma zote kwa mtoto ikiwemo elimu.
Niko tayari kupima ukimwi na wewe uwe tayari kupima .
Ni-PM
Umri wangu;23
Dini yangu;christian
Elimu yangu;degree
Rangi yangu;black ila cyo km mkaa
Kimo changu;160cm
Binti awe na umri kuanzia 19-22 itapendeza na mweupe.
Habarini zenu hapa ndani,
Nina miaka 26 ila kulingana na umri wangu (mdogo) siwezi kuoa kwa sasa na hivyo nahitaji mdada mzuri wa kuzaa nae tu.
Nitagharamia kila kitu kuanzia siku ya kwanza ya...
Wakuu waswahili husema mficha uchi hazai, nami nimeamua kuufuata msemo huu wa wahenga maana naona mambo yanakuwa sio.
Am gentleman aged 25 natafta mchumba wa kuyajenga naye na ikibidi kuoana.Awe...
Habari za wanaJF?
Mimi ni kijana kitanzania, nipo hapa Dar es Salaam. Baada ya kushughulika na michakato ya maisha, hasa kuweka mikakati mizuri.
Sasa muda wa kuoa ndiyo umefika. Sasa ninahitaji...
Habari za jioni wana jukwaa hili pendwa narudia tena kuwa natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 18 mpaka 25 ...
Asiwe mnene sana na mwembambamba sana
Awe wa kawaidaa na asiwe wa...
Hi guys, poleni na majukumu,
Baada ya kuumizwa kwa muda mrefu na mapenzi niliamua kupumzika lkn sasa naona ni muda mwafaka wa mimi kuwa na mahusiano yanaeleweka ikibidi yafikie hatua ya ndoa...
Kama kichwa kinavyojielezea, mwakani Mungu akijalia nitatimiza miaka 27(full-adult man). Ila itakubidi unielewe kama nilivyo mfukoni naunga unga tu maisha pamoja na kujaaliwa kadegree kutoka kile...
Habari. ...natafuta mchumba wa kiume alie serious.Nina miaka 34. Nina kazi nzuri tu kwenye taasisi ya elimu ya juu. Ni mweusi, sio mnene. Mkiristu. Nahitaji mume Mkiristu umri kuanzia 34 na...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, urefu cm175, rangi maji yakunde. Siamini saana juu ya dini but naamini kuna muumba wa vyote. Kabila langu ukinipm utafahamu.
Nimeshaambiwa na wasichana...
Wana JF wenzangu,
Naomba mchango wa mawazo yenu juu ya swala hili.
Kati ya mwanamke na mwanamume walio katika mahusiano ya kimapenzi ni nani anapaswa kutamka kwa mwenzie uhitaji wa kufunga ndoa?
Natafuta mchumba wa kike mwenye sifa hz
1. Awe chini ya miaka 27
2. Awe mkristu
3. Asiwe anatumia kilev chochote
4. Asiwe too much bonge
5. Awe na level ya elimu kuanzia form 4 mpaka chuo kikuu
Bila shaka sijakosea jukwaa,
Anahitajika mke wa baadae mwenye sifa zifuatazo. Umri 20-30, Dini Mkristu
Sifa zangu :
1) Umri 30 years na miezi mitano.
2) Msomi wa degree mbili, mwajiriwa.
3)...
Habari wanajamii,
Kama caption juu inavyojieleza,
Natafuta rafiki wa kike, rafiki ambaye atakuwa kioo kwangu na mimi kioo kwake, rafiki mwaminifu mwenye upendo na nidhamu ambaye tutaweza...
Jamani habarini. Nipo Arusha natafuta mwanamke wa kudate tu na kusaidiana mambo mengine. Ndoa majaliwa.
Nina miaka 27 mfanyabiadhara na masters mbili za biashara.
Awe anaishi Arusha au...
Mimi ni kijana ambaye kwa sasa nimeamua rasmi kutafuta mchumba na kuoa ikimpendeza Mungu baada ya pilika pilika nyingi za masomo, mimi tayari nimeshaajiriwa government. Naweza nikasimama kama...
Nawasalimu wana JF wote,
Rejea thread yangu ya kutafuta mume
Ninapenda kumshukuru Mungu Baba, Muumba wa vyote kwa kuweza kunikutanisha na mwenza wa maisha yangu ya hapa duniani,kwa hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.