Nitawezaje kumpata mpenzi mzungu

Mapensho star

JF-Expert Member
Jun 30, 2016
3,052
4,075
Habari wapendwa
nimekuwa na ndoto ya kuoa mzungu jamani sasa sijui hawa wazungu wanavutiwa na vitu gani sana sana
ili nifanikishe hili niweke toto la kizungu ndani
sina lengo la kulelewa mimi napenda yeyote ata maisha ya kawaida kikubwa tupendane
mwenye uzoefu na hili tupeane maujanja
 
Habari wapendwa
nimekuwa na ndoto ya kuoa mzungu jamani sasa sijui hawa wazungu wanavutiwa na vitu gani sana sana
ili nifanikishe hili niweke toto la kizungu ndani
sina lengo la kulelewa mimi napenda yeyote ata maisha ya kawaida kikubwa tupendane
mwenye uzoefu na hili tupeane maujanja

Usikate tamaa we endelea kuota tu..ipo siku utaota unaoa mzungu tena mzungu tajiri..endelea tu kuota
 
Habari wapendwa
nimekuwa na ndoto ya kuoa mzungu jamani sasa sijui hawa wazungu wanavutiwa na vitu gani sana sana
ili nifanikishe hili niweke toto la kizungu ndani
sina lengo la kulelewa mimi napenda yeyote ata maisha ya kawaida kikubwa tupendane
mwenye uzoefu na hili tupeane maujanja
Kila mwanamke anavitu anavyovutiwa navyo kwa mwanaume you can't generalize....hata uweje utampata tu anayevutiwa na wewe....
Kama uko bongo safiri nenda nchi yoyote ya Wazungu...Ukiwasubiri hapohapo bongo ni sawa na kusubiri uokote embe chini ya mnazi ....unaweza kuokota embe chini ya mnazi lakini ujue embe hilo limeletwa na popo na limeliwa upande .....
My experience...nilivyofika huku ughaibuni nilijikuta mweusi pekeyangu nikifanya kazi na wazungu.... nilijikuta najichagulia dodo kati ya madodo matano yaliyokuwa yakihitaji kuwa namimi ....nimeoa na nina watoto wa tatu ....ndoa ina miaka 12 mpaka usawa huu ...HATUA MOJA MUHIMU WAFUATE HUKO WALIKO.....
 
Naskia wabaridi sana BTW jaribu kufuga rasta.Mie nakomaa na hawahawa chocolate queens.the blacker the berries the sweeter the juice
Uckariri kk sio wote wabarid wengine kajoto kapo kumpata mzungu ni rahic kuliko hata mTz kwa mimi wanapenda kwanza mfamiane vizur ujuene kingine jaribu kujuwa anapenda nini apendi nn anachopenda kk pita mule mule hapo ushagonga muombe kukutana naye mara 2 hadi 3 akija ujuwe kashakuelewa ckurupuke kutongoza mapema sasa hv nawona wepes kuliko awachomoki sasa...
 
Kuwa mchafu-mchafu, nukia ganja, macho mekundu, vaa maviatu makubwa(oversize), "jitahidi kuwa mweusiiii"...hapo utapata wengi tu.
 
Habari wapendwa
nimekuwa na ndoto ya kuoa mzungu jamani sasa sijui hawa wazungu wanavutiwa na vitu gani sana sana
ili nifanikishe hili niweke toto la kizungu ndani
sina lengo la kulelewa mimi napenda yeyote ata maisha ya kawaida kikubwa tupendane
mwenye uzoefu na hili tupeane maujanja
usikate tamaa hapa dunian tuna ishi kwa ndoto kabla ya kufanya kitu ,kinacho takiwa jenga urafiki na jua sehemu ya kumpata huyooo alie kushikia ndoto zako... lakin unge anza na wa arabu koko maana ndio wengi kwa kweli hao wengine kidhungu kina panda?
 
Kwanza unatakiwa uwe mweusi kama lami kingine ufuge rasta halaf uende arusha ukatembee tembee utaokota mzungu
 
Ukimpata jiandae kuendeshwa kama Gari bovu, na mkibahatika kupata watoto basi watoto ni wa mama wewe utaishia kutuma picha, kwa ndugu zako eti na wewe ulizaa na mzungu, kumbe uwenda ulichapiwa. Pambana.
 
Kila mwanamke anavitu anavyovutiwa navyo kwa mwanaume you can't generalize....hata uweje utampata tu anayevutiwa na wewe....
Kama uko bongo safiri nenda nchi yoyote ya Wazungu...Ukiwasubiri hapohapo bongo ni sawa na kusubiri uokote embe chini ya mnazi ....unaweza kuokota embe chini ya mnazi lakini ujue embe hilo limeletwa na popo na limeliwa upande .....
My experience...nilivyofika huku ughaibuni nilijikuta mweusi pekeyangu nikifanya kazi na wazungu.... nilijikuta najichagulia dodo kati ya madodo matano yaliyokuwa yakihitaji kuwa namimi ....nimeoa na nina watoto wa tatu ....ndoa ina miaka 12 mpaka usawa huu ...HATUA MOJA MUHIMU WAFUATE HUKO WALIKO.....
teh teh
 
Uko kipindi cha matamanio mengi
hapana mkuu
kwanza kila mtu anahitaji mpenzi sahihi wakuishi nae na mimi mwenyew naamini wazungu wengi wanamapenzi ya kweli changamoto nalizopitia kwenye mahusiano nahisi niwakati nahitaji kupata mtu sahihi ili nitimize ndoto zangu
 
Habari wapendwa
nimekuwa na ndoto ya kuoa mzungu jamani sasa sijui hawa wazungu wanavutiwa na vitu gani sana sana
ili nifanikishe hili niweke toto la kizungu ndani
sina lengo la kulelewa mimi napenda yeyote ata maisha ya kawaida kikubwa tupendane
mwenye uzoefu na hili tupeane maujanja
Kasali mashaid wa yehova wazungu wapo wengi na sheria yao muoane watu wa kanisa Iloilo kwaiyo mjomba posibility unayo asilimia 90℅ nina jamaa angu kaoa ana watoto wa 3
 
Back
Top Bottom