mdundo ngoma sana
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 1,002
- 954
Umri wangu ni miaka 35 nimeajiliwa wizara moja serikalini mwaka wa tatu huu.
Natafuta mchumba wa kumuoa mwenye umri kuanzia miaka 20 mpaka arobaini awe na khofu ya Mungu, msikivu, msafi na mke mwema.
Nitarespond katika maombi yote bila dharau.
Ahsanteni
Natafuta mchumba wa kumuoa mwenye umri kuanzia miaka 20 mpaka arobaini awe na khofu ya Mungu, msikivu, msafi na mke mwema.
Nitarespond katika maombi yote bila dharau.
Ahsanteni