KIN NIGGA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,089
- 2,000
Hello wana JF.
Mimi ni kijna mwenye umri wa miaka 24.Ninaishi ukimbizini nchini Tanzania katika kambi ya Nyarugusu wilayani Kasulu kutokea DR Congo.
Nimeshi kambini takribani miaka 18 sasa, nimezunguka mikoa kadhaa ya Tanzania kama vile Mwanza, Mara, Kagera nk.
Nilibahatika kupata elimu ya msingi na secondary kambini na maombi yangu ya kwenda kuishi nchini Marekani yalikubaliwa na sasa nasubir safari muda wowote naweza kuondoka.
Katika kuishi kwangu Tanzania nilivutiwa sana na wasichana wa Tanzania kiasi hata huko niendako ningepnda tuwe tunabadilishana mawazo hata kushirikiana na kusaidiana katika maswala muhimu.
My no: 076440922
Mimi ni kijna mwenye umri wa miaka 24.Ninaishi ukimbizini nchini Tanzania katika kambi ya Nyarugusu wilayani Kasulu kutokea DR Congo.
Nimeshi kambini takribani miaka 18 sasa, nimezunguka mikoa kadhaa ya Tanzania kama vile Mwanza, Mara, Kagera nk.
Nilibahatika kupata elimu ya msingi na secondary kambini na maombi yangu ya kwenda kuishi nchini Marekani yalikubaliwa na sasa nasubir safari muda wowote naweza kuondoka.
Katika kuishi kwangu Tanzania nilivutiwa sana na wasichana wa Tanzania kiasi hata huko niendako ningepnda tuwe tunabadilishana mawazo hata kushirikiana na kusaidiana katika maswala muhimu.
My no: 076440922