Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Tafadhari sana kama unamanisha kutafuta mume naomba uni pm tujadili ,umiri wowote kutoka 20-35 mengine tutazungumza, elimu yangu ni degree 1 nimwajiriwa wa serikali,karibu.narudia mimi nipo...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za leo wana jukwaa, Miezi michache iliyopita nilileta uzi hapa wenye kichwa cha habari " Natafuta mke mwema" Tangu kipindi hicho nilipopandisha uzi huo nimegundua kuwa wa2 waliowengi...
3 Reactions
70 Replies
9K Views
Habari za wanaJF? Mimi ni kijana kitanzania, nipo hapa Dar es Salaam. Baada ya kushughulika na michakato ya maisha, hasa kuweka mikakati mizuri. Sasa muda wa kuoa ndiyo umefika. Sasa ninahitaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Salute wana-JF! Yangu ni machache tu. Mimi ni mwanamume wa miaka 43. Nilioa tukaachana kutokana na matatizo ya ndoa [details nazihifadhi]. Tulijaliwa watoto 3. Siwezi kuishi maisha yangu...
3 Reactions
96 Replies
6K Views
Wapendwa mimi ni binti wa mid 20's natafuta mwanaume wa kunipa kampani,ni strictly kampani no sex involved.niko lonely nahitaji mwanaume wa kuwa karibu nami kama rafiki na kuspend time especialy...
9 Reactions
118 Replies
12K Views
Nipo dar-es-salaam mwaka wa kwanza CLINICAL MEDICINE natafuta mchumba...weka # nitakutafuta mimi
0 Reactions
42 Replies
3K Views
MK ULTRA SEDUCTION[emoji769] is rooted in advanced psychology and mind control strategies,works on virtually every female type on the planet - from the homely girl-next-door to the top supermodel...
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Hello people, My name is Richard, a Tanzanian living in Arusha. Professionally, I'm an Accountant of a reputable Organization in town. I'm looking for a woman of my life (who stays in Arusha)...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
1. She's been with you for a long time. If you've been together for a long, long time, chances are, your gal is not going anywhere any time soon. FYI: once we get attached to something (like a...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani natafuta girlfriend ila awe serious maana huu upweke sasa unaelekea kuniua... Nimechoka kukaa peke yangu upweke noma sana...Nataka mtu Mstaarabu, Mpole kiasi , Mwenye Kupenda Maendeleo...
0 Reactions
5 Replies
976 Views
Wakuu wa JF, Hope mko salama, naamini mpo poooooaaaa. Sasa nina dili kali, baada ya kutafiti mada nyingi katika jukwaa hili la MMU kwa muda mrefu, nimejiridhisha kuwa kuna changamoto za...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Awe na sifa hizi 1.Asiwe na mtoto 2.Awe na upendo wa dhati 3.Asitumie kilevi chochote 4.Awe na hofu ya Mungu 5.18-27yrs 6.Awe Mkristo Msichana ambae kwel yupo serious kuingia kwenye mahusisno...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mdada ukiniona nina kibamia basi wewe una bwawa mdada ukiniona kitandani mchovu kimoja nimelala basi either hunivutii au hujui mapenzi mdada ukiniona bahili basi unapiga sana virungu visivyo na...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
KWA NINI WANAWAKE WENGI SIKU HIZI HAWAOLEWI? Kwa sababu WENGI HUPISHANA NA WAUME ZAO Kwa mfano : 1.Mwanamke anapigiwa simu kwa namba ngeni, anauliza namba yangu umeitoa wapi? Usiponiambia...
4 Reactions
38 Replies
7K Views
Natafuta msichana wa under 25 Vigezo: Awe mrembo Asipende hela Mwenye shape ya wastani flat screen siwataki Elimu sibagui hata la nne B Njoo Pm N.b asiwe na wivu hata kidogo
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume nna miaka 27 Nipo vzur kiuchumi Sichagui dini/kabila Asizidi miaka 22 Awe natural asiwe amejichubua Awepo dar Baada ya kuumizwa sana nahitaji kuoa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari, mimi nipo maeneo ya temeke, yombo, natafuta rafiki wa kike yeyote anaejisikia yu huru kuwasiliana na mie. Asante na karibu....
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama mada inavyojieleza, nipo lonely na natafuta msichana mzuri wa kutoka nae out na kubadilisana mawazo hususani ya ujasiriamali. Kwa mwenye uhitaji pia ajitokeze lakini lazima awe na uwezo wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Assalam alykum . Hama baada ya salamu naomba nitililike moja kwa moja........ Mimi nikija mwenye umri wa mika 24 .... Elimu yangu (niyachuo) Diploma ya ualimu wa Secondary lakin niliupiga...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Hallow collaegues,Greetings My profile; Age: 31 yrs old Education: BSc,MSc Employment: Ministry of Health, 170cm Tall, weight 55kg, . Religion: Christian Looking a matured lady with...
3 Reactions
29 Replies
5K Views
Back
Top Bottom