Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Wadau wote wa JF natumai ni wazima wa afya, Binafsi kila mtu anayo malengo yake aliyojiwekea na muda wa kuyatimiza. Malengo yangu yametimia na sasa nahitaji mke ili kujenga familia imara yenye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wana JamiiForums, Kitengo cha LoveConnect? Nina umri wa miaka 28 elimu yangu ni Bachelor degree, mimeajiriwa Serikalini. Natafuta mke mwenye vigezo vifuatavyo Awe na umri wa miaka 26...
0 Reactions
5 Replies
987 Views
Kama inavosomeka hapo juu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunatafta but hatupati Jaman mwenyez gundu gani hili
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za muda huu kaka, dada na wadogo zangu? Najiokeza kwenu leo nikiwa serious na hitaji langu likiwa serious pia. Natafuta/nahitaji mwanamke/msichana ambaye hajawahi fika au kufikishwa...
1 Reactions
48 Replies
13K Views
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28. Nina Elimu ya Diploma na nipo kwenye ajira. Najitokeza humu kutafuta Mwanamke ambae nataka awe mke wangu. Awe na sifa zifuatazo, Mweupe, urefu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Najaribu kama muda wa BAN umeisha.
3 Reactions
0 Replies
1K Views
ALHAMDULILLAH NIMEMPATA NILIYEKUWA NAMTAFUTA NAYE AMENIPATA SITAFUTI TENA MKE WAPENDWA, NIMEFUNGA UKURASA
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndoto yangu nikuwa na mwanaume doctor haijatimia, natafuta mume mcha Mungu hata awe doctor au yeyote. Mimi najihusisha na mambo ya kisheria, mimi ni mchaga mrefu saizi ya kati, umri wangu ni miaka...
5 Reactions
67 Replies
6K Views
Hodi Jamvini, jamani mwenzenu niko hoi,pamoja na kashfa,visa na matukio ya hapa na pale kuhusu Wema Sepetu,mwenzenu binti huyu ananitia wazimu,sijui nielezee vipi,lakini naamini mnanielewa,nadhani...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Inawezekana kupata mke kwa social media kweli
0 Reactions
3 Replies
927 Views
Habari JF, Nimeamua kujitokeza hadharani kuongeza kasi ya utafutaji. Nahitaji kuoa na kuanza kulea familia. Mtakaonikejeli mbarikiwe, hatukuumbwa sawa wote, pia tunatofautiana malezi na fursa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Naamini mapenzi ni kama maua yanaweza kuota popote, siku zote atafutae huwa hajui kama atapata lini na wapi. Wapenzi wanaweza kutana popote, yawezekana ikawa msibani, safarini kwenye harusi...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kike anaejua computer vizuri. Ajue programming languages kama Php,java,c++ etc. Awe na uelewa wa mambo ya web designing. Mwenye uwezo wa kufikiri projects kubwa zenye maana...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Natafta mke mapema tu kwa ajili ya kuitafta pepo....awe anajua dini ya kiislam vzuri na Kama hajui awe tayari kukaa chini na kusoma..tusisumbuane kabisa juu ya kutekeleza amri Za mungu Ikiwemo...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari, Mimi ni mwanaume wa miaka 25, elimu nina shahada ya biashara, kazi mwajiriwa, nina nyumba nimejenga, kazi ya uhakika, nitamtunza, kumjali na kumpa mahitaji ya msingi kama mke, ninatafuta...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Salama wakuu ninatafuta mwanamke yoyote aliyeko serious kutoka mkoa wa Mwanza kwa ajili ya urafiki na mambo mengine yatafata. Kuhusu mimi Mkirsto miaka 27 Elimu Bachelor Degree Nimeajiliwa na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa ufupi sana ni kwamba mke mtarajiwa na ambaye yuko very serious kwa ajili ya kuanzisha uhusiano na baadaye kuoana, ninamuhitaji sana tena sana. Kwa upande wa sifa anazotakiwa kuwa nazo ni...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nina maswali mawili kwa members mnaoanzishaga threads za kutafuta partiners(boyfriends) 1. Kwanini swala la umri mnawekaga mkubwa mno mostly 30+? 2 . Mnapata hao boyfriends kweli? Sent using...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom