Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30 Kazi yangu mwl...natafuta mwanaume aliye tayari tufunge ndoa kuanzia 30yrs hadi 45 Awe muislamu na mapenzi ya dhati! Aliye tayari aje Pm Ahsante!
5 Reactions
41 Replies
6K Views
Mm ni msichana nimeajiriwa serikalini natafuta mume anayejua thamani ya mwanamke. miaka 35 - 45. akitokea Dar, Tanga, moshi, pwani na moro.
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Mm kijana mwenyewe umri miaka 26 nahitaji mke aliyeserious dini awe mkristo tena Rc awe na kazi kwa sababu mm mwenyewe nina kazi sipendi mtu tegemezi
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nina miaka 27, elimu yangu ni degree moja, sijawahi kuolewa na sina mtoto, dini yangu ni mkristo nataka kuwa mke. Ila ningependa kuolewa na mwanaume ambae ana mke tayari...
22 Reactions
176 Replies
68K Views
Habari wanajukwaa? Hitaji langu kuu ni kama nilivyoeleza hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 26, naishi Dar es salaam kikazi na makazi kwa ujumla. Kitaaluma ni mwanasheria, Elimu yangu ni diploma...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Habari za humu wapendwa. Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu. Sifa za...
3 Reactions
168 Replies
43K Views
Natumaini wote wazima Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa Awe muislam(muhim saaaana) Miaka 27-36 Elimu Degree Awe anajishughulisha angalau Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake...
9 Reactions
122 Replies
17K Views
Habari wanajukwaa? Hitaji langu kuu ni kama nilivyoeleza hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 26, naishi Dar es salaam kikazi na makazi kwa ujumla. Kitaaluma ni mwanasheria, Elimu yangu ni diploma...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Mapenzi unautesa moyo wangu kila ninapo jaribu kumtafuta wakunifariji najiumiza zaidi let me to say love takes time[emoji125] [emoji126] you Los my mind [emoji144][emoji144] I wanna be...
0 Reactions
2 Replies
569 Views
Habari zenu wana jf mie ni mkazi wa kunduchi nimekuja hapa kutafta marafiki wa kuchat nao na kubadilishana mawazo sja target umri kwa sababu wazo jema halina umri hivo bas karibuni sana wenye nia...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Tafuta uhusiano na mwanamke ambaye ana heshima na utulivu
0 Reactions
0 Replies
421 Views
Hello habari zenu Sitazunguka sana naenda moja kwa moja kwenye point Kwa walio serious tu plz Mi ni kijana wa miaka zaid ya 30 Ninaishi Netherlands muda huu Nimetamani sana kuoa mtanzania lakin...
0 Reactions
85 Replies
13K Views
Niende moja kwa moja kwenye point! Ni wakati muafaka sasa baada ya kupitia changamoto nyingi sana kwenye kumpata mtu sahihi wa kupanga nae malengo aje kua mke siku za usoni, leo nakuja mbele...
0 Reactions
3 Replies
962 Views
Mke mwema anahitajika sana. Awe na sifa hizi 1. Mkristo au mwislam aliyetari kuwa mkristo preferably mpentekoste. 2. Elimu sio kigezo ila awe na akili nyingi za maisha. 3. Awe ni mwanamke mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau Kuna mwanamke ambae nilikiwa nae kwenye mahusiano baadae tukatengana baadae akaniambia ana mimba yangu so kuanzia analea mimba had leo mtoto amezaliwa hatuko kwenye mahusiano ya...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Naitwa David nipo Kahama Shinyanga, natafuta mwanamke wa kuoa awe maji ya kunde na awe tayari kuoana na kuanza kukuza uchumi nilio nao.Awe Tabora Shinyanga,mwanza,kigoma,singida.anipate kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Aisee msiweke mabango ukitaka kupata mwanamke JF jikoki kisha zama PM oneday utafanikiwa na usikate tamaa. mimi niliweka mabango mpaka nikachoka mwisho nilikuwa nikiweka mabango ya kutania baada...
9 Reactions
68 Replies
5K Views
Habari wana jf,jina natafuta mke wakuoa atakaye kua na mapenzi ya dhati,umri wangu ni miaka 36,sina mtoto,wala sijawahi kuoa,sivuti wala kutumia kilevi,nina dgree ya pili,pia nimeajiriwadini...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Siku za hivi karibuni mke wangu amekuwa akionyesha tabia za kutojali,mfano,unaweza ukawa kazini ukamtext," hi baby" akajibu "P" Ukiendelea anapiga kimya hajibu sms,. Kwa kuwa muda wake wa...
9 Reactions
20 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 sasa elimu ni degree ni muajiriwa wa Serikali nina watoto watatu wakike 2 wa kiume mmoja.Nilioa bahati mbaya ndoa haikiweza kudumu kutokana na changamoto...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom