Habari wana jf,jina natafuta mke wakuoa atakaye kua na mapenzi ya dhati,umri wangu ni miaka 36,sina mtoto,wala sijawahi kuoa,sivuti wala kutumia kilevi,nina dgree ya pili,pia nimeajiriwadini...
Siku za hivi karibuni mke wangu amekuwa akionyesha tabia za kutojali,mfano,unaweza ukawa kazini ukamtext," hi baby" akajibu "P"
Ukiendelea anapiga kimya hajibu sms,.
Kwa kuwa muda wake wa...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 sasa elimu ni degree ni muajiriwa wa Serikali nina watoto watatu wakike 2 wa kiume mmoja.Nilioa bahati mbaya ndoa haikiweza kudumu kutokana na changamoto...
Awe muislam au alie tayari kuwa muislam, umri miaka 28-32, awe tayari kwa ndoa kwa aliye serious, aliye na nia na vingine nilivyotaja aje pm, coz sitazungumza chochote zaidi kwenye thread siku njema.
Mimi ni mwanaume halisi najitokeza kwa mara ya kwanza kumsaka Rabeca na nukuu ukisoma Mwanzo 24:44,mwanzo 24:61-67 na amini kabisa mke bora anatoka kwa bwana.umri wangu ni miaka 34,nina elimu ya...
Habari ya uzima wanaJF...Kama tittle ilivyo natafuta mpenzi wa kike ambaye tutawezakushare mambo mbalimbali including serious matters abt life...
Umri itapendeza awe from 20 hadi 25
Kipnd nasoma o level nilipata mtoto mmoja mzur huyo hatar.. ila alikuwa mlokole.
Story zetu bas ni za dini tu.. hakuna bla blah kipndi hicho nasoma morogoro shule moja inaitwa kigurunyembe...
Natafuta mwanamke ambae Mungu akipenda aje kua mke wangu
Sifa
1.Awe na uhitaji wa kuingia kwenye mahusiano yatayopelekea ndoa
2.umri 20-27yrs
3.Asiwe na watoto
4.Awe mkristo
Sifa zangu
1.Mkristo...
Habari wanajamvi,
-Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.
-Mfanyabiashara
Natafuta mwanamke wa kuishi nae na kuniletea watoto duniani.
Ninapenda sana watoto.
Mwanamke awe na utayari wa kua...
Sio mimi bali mshikaji wangu.
Iko hv:
Jamaa yangu alioa. Akazaa naye watoto wawili, lakini amekuwa hatulii kwenye ndoa anahangaika sana na wanaume. Nadhani ni kwa sababu alimuoa akiwa mdogo sana...
Habari za leo wana JF.
Mimi ni kijana wa kiume rijali kabisa mwenye umri wa miaka 36. Nina elimu nzuri, mcha Mungu, nimeajiriwa, na nina ndoto za maisha vile vile. Kwa sababu zilizo nje ya uwezo...
-awe ameokoka
-popote pale Tanzania,
-sijali dhehebu cha msingi iwe ya wokovu.
-elimu kuanzia form 6 hadi masters.
-awe ameajiriwa au hajaariwa its OK
-watoto wa wachungaji watapewa kipaombele...
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Natafuta mume;
1. Awe mkristu
2. Awe ana degree na kuendelea
3. Awe mwajiriwa au amejiajiri
4. Umri kuanzia 33 yrs na kuendelea
Kwa upande wangu, mimi ni...
KW jin naitw jumer nip Dodoma ninaumri wa miak 21 natafut wa din yoyt ile awe wa rang yoyt ile pia awe na umri kuanzia miak18-28 asiwe mnen awe mwembab na mweny Shep nzur awe natabia nzr2 anichek...
Habarini za kazi wana JamiiForums,
Bila kupoteza muda naomba kutiririka moja kwa moja, hoja yangu iliyopelekea kuandaa uzi huu.
Kwanza nianze kwa kusema nawapenda sana tena toka moyoni...
Mimi ni msichana wa miaka 27, mwajiriwa selikalini naishi Mbeya. Elimu yangu ni shahada ya kwanza. Nimeokoka. Mimi naamini mume au mke mwema anatoka kwa bwana but unaweza kukutana nae popote. Nami...
Baada ya kuchoka usingle mother nimeona is not funny nahitaji mume jamani.
08/09 natimiza 29, kimo f 5.5 primary teacher, mtoto mmoja, am black beauty, mcheshi na vurugu nyinginyingi ha ha haaa...
Wadau wote wa JF natumai ni wazima wa afya,
Binafsi kila mtu anayo malengo yake aliyojiwekea na muda wa kuyatimiza. Malengo yangu yametimia na sasa nahitaji mke ili kujenga familia imara yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.