Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nina miaka 50 natafuta mke wakuoa , nina watoto wawili nilio zaa na Mzungu. Sifa zinazo hitajika 1 awe mtu mzima zaidi ya miaka 35 2 Akiwa alishazaa au bado hakuna tatizo 3 Asiwe tegezi...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
matumaini yangu woote wazima.Nimejitokeza kwenu naitaji mwenza[mke] kwa majina naitwa steven nipo songea umri wangu miaka 24 elimu yangu ni ya kidato cha nne najishughulisha na ufundi wa magari...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
kama kuna mwenye vigezo tafadhali husika na Pm, mana naona umri wangu unaelekea saa 9.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
mie ni msichana mwenye umri wa miaka 28,nimeajiriwa serikalini,natafuta mchumba ambaye tunaweza funga pingu za maisha,umri awe na miaka 29-35,awe mkristo rc,elimu degree na kuendelea,mwenye vigezo...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
Habari zenu, Umri miaka 25 naishi Dar kama nilivyotangulia hapo mwanzo ni kweli kuwa nimechoka kuishi pekee nahitaji mwenza wa kuwa nae maishani kusaidiana katika dhiki na faraja tucheke wote...
9 Reactions
59 Replies
7K Views
Jamani kama kichwa habari kinavyojieleza, Ni mara pili sasa natafuta mume na sio mchumba.Umri 30+ awe mkristo na pia elimu ya kati awe mrefu mwenye upendo na mapenzi ya dhati. Mimi ni mkristo...
17 Reactions
175 Replies
23K Views
"Nimewahi kuomba ushauri hapa JF kuusu wake zangu wawili kama mtakumbuka umri nilishataja nilipata ushauri mzuri wengine walizingua mana huwa hawakosekani katika jamii ni kawaida sana kuwapo watu...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Hello! Naitwa Mary ni binti wa miaka 28 na ni mkristo, nimemaliza chuo mwaka jana kozi ya laboratory science and technology lakini bado sijapata ajira. Nilidumu kwenye mahusiano na mwanaume...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mm naitwa blandina nilishawai kuandika status yangu nikiwa natafuta Mme sikuwa natania nilikuwa serious ila nimepitia sms za wengi wanafanya jok sana siyo kila mtu anae andika anatafuta Mme au...
16 Reactions
38 Replies
5K Views
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 ni mzaliwa wa Moshi ila kwa sasa niko Dodoma kikazi natafuta mwanamke ambaye yuko tayari kuishi na mimi maisha yoyote yale. VIGEZO vyangu nikuwa awe na umri...
1 Reactions
51 Replies
8K Views
Kama kichwa kinavyojieleza natafuta mwanamke/msichana wa sifa zifuatazo:- >Awe kabila lolote kwani kwangu hiki sio kigezo (no one decided to be in any of the tribe available) >Rangi pia yoyote...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za asubuhi. Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu, Mimi ni mwanaume na miaka 23, mweupe, mkristo, elimu bado nipo chuo, mchaga nadhani inatosha japo kidogo kujitambulisha. Mimi ni...
0 Reactions
1 Replies
805 Views
Sifa Awe mcha mungu Awe amehifadhi Quran yote au hata juzuu moja Akili timamu Asiyependa makuu. Anayejua kulea watoto wamjue Allah Miaka 23;24;25; 0714205255
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za majukumu wadau. Kama kichwa cha habari kinavyojielea, ninahitaji kuwa na mke ilituweze kusaidiana kujenga familia bora. Sifa za mtu ninayemtafuta: - Awe wife material (mchapa kazi n.k)...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo:- 1.Awe na umri kuanzia miaka 25 na kuendelea mana sipendi kuwa na msichana mwenye mambo ya utoto utoto. 2.Rangi yeyote iwe nyeusi au nyeupe ila sio weupe...
1 Reactions
122 Replies
8K Views
Habari zenu, Majuzi nilieleza kwanini napenda Mwanamke mtu mzima, na kwakweli niliwekwa kikaangoni na kumjibu kila mmoja kwa umakini, hadi thread ikafika page ya 9 bila tusi lolote, bali yalikuwa...
4 Reactions
43 Replies
6K Views
Habari wana JF, Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza. Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa...
27 Reactions
336 Replies
30K Views
Inaweza ikawa kwa fikra za kawaida ukajiuliza nikaapo hawapo mpaka nitafute hapa?, lakini when you search someone to be your wife your never know utakutana nae kwenye mazingira yapi!, natafuta...
5 Reactions
76 Replies
7K Views
Habarini wanajukwaa, Naitwa Idriss(miaka 33) naishi Mbezi (Africana) ni mwajiriwa katika shirika lisilo la kiserikali hapa jijini Dar. Nahitaji mke (inshaAllah tukiridhiana) Awe muislam /akubali...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo jinsia zote age 27-31 npo dar
0 Reactions
4 Replies
878 Views
Back
Top Bottom