Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari za muda huu kaka, dada na wadogo zangu? Najiokeza kwenu leo nikiwa serious na hitaji langu likiwa serious pia. Natafuta/nahitaji mwanamke/msichana ambaye hajawahi fika au kufikishwa...
1 Reactions
48 Replies
13K Views
Mimi ni Kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28. Nina Elimu ya Diploma na nipo kwenye ajira. Najitokeza humu kutafuta Mwanamke ambae nataka awe mke wangu. Awe na sifa zifuatazo, Mweupe, urefu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Najaribu kama muda wa BAN umeisha.
3 Reactions
0 Replies
1K Views
ALHAMDULILLAH NIMEMPATA NILIYEKUWA NAMTAFUTA NAYE AMENIPATA SITAFUTI TENA MKE WAPENDWA, NIMEFUNGA UKURASA
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndoto yangu nikuwa na mwanaume doctor haijatimia, natafuta mume mcha Mungu hata awe doctor au yeyote. Mimi najihusisha na mambo ya kisheria, mimi ni mchaga mrefu saizi ya kati, umri wangu ni miaka...
5 Reactions
67 Replies
7K Views
Hodi Jamvini, jamani mwenzenu niko hoi,pamoja na kashfa,visa na matukio ya hapa na pale kuhusu Wema Sepetu,mwenzenu binti huyu ananitia wazimu,sijui nielezee vipi,lakini naamini mnanielewa,nadhani...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Inawezekana kupata mke kwa social media kweli
0 Reactions
3 Replies
929 Views
Habari JF, Nimeamua kujitokeza hadharani kuongeza kasi ya utafutaji. Nahitaji kuoa na kuanza kulea familia. Mtakaonikejeli mbarikiwe, hatukuumbwa sawa wote, pia tunatofautiana malezi na fursa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Naamini mapenzi ni kama maua yanaweza kuota popote, siku zote atafutae huwa hajui kama atapata lini na wapi. Wapenzi wanaweza kutana popote, yawezekana ikawa msibani, safarini kwenye harusi...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Natafuta rafiki wa kike anaejua computer vizuri. Ajue programming languages kama Php,java,c++ etc. Awe na uelewa wa mambo ya web designing. Mwenye uwezo wa kufikiri projects kubwa zenye maana...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Natafta mke mapema tu kwa ajili ya kuitafta pepo....awe anajua dini ya kiislam vzuri na Kama hajui awe tayari kukaa chini na kusoma..tusisumbuane kabisa juu ya kutekeleza amri Za mungu Ikiwemo...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari, Mimi ni mwanaume wa miaka 25, elimu nina shahada ya biashara, kazi mwajiriwa, nina nyumba nimejenga, kazi ya uhakika, nitamtunza, kumjali na kumpa mahitaji ya msingi kama mke, ninatafuta...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Salama wakuu ninatafuta mwanamke yoyote aliyeko serious kutoka mkoa wa Mwanza kwa ajili ya urafiki na mambo mengine yatafata. Kuhusu mimi Mkirsto miaka 27 Elimu Bachelor Degree Nimeajiliwa na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa ufupi sana ni kwamba mke mtarajiwa na ambaye yuko very serious kwa ajili ya kuanzisha uhusiano na baadaye kuoana, ninamuhitaji sana tena sana. Kwa upande wa sifa anazotakiwa kuwa nazo ni...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nina maswali mawili kwa members mnaoanzishaga threads za kutafuta partiners(boyfriends) 1. Kwanini swala la umri mnawekaga mkubwa mno mostly 30+? 2 . Mnapata hao boyfriends kweli? Sent using...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Nina miaka 50 natafuta mke wakuoa , nina watoto wawili nilio zaa na Mzungu. Sifa zinazo hitajika 1 awe mtu mzima zaidi ya miaka 35 2 Akiwa alishazaa au bado hakuna tatizo 3 Asiwe tegezi...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
matumaini yangu woote wazima.Nimejitokeza kwenu naitaji mwenza[mke] kwa majina naitwa steven nipo songea umri wangu miaka 24 elimu yangu ni ya kidato cha nne najishughulisha na ufundi wa magari...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
kama kuna mwenye vigezo tafadhali husika na Pm, mana naona umri wangu unaelekea saa 9.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
mie ni msichana mwenye umri wa miaka 28,nimeajiriwa serikalini,natafuta mchumba ambaye tunaweza funga pingu za maisha,umri awe na miaka 29-35,awe mkristo rc,elimu degree na kuendelea,mwenye vigezo...
1 Reactions
37 Replies
8K Views
Back
Top Bottom