Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hello! Madada zangu ambao huwa mna aina zenu za wanaume ambao mnataka kuwa nao.. Utaona bidada anataka mwanaume ambae 1. Yupo focused 2. Ana mipango ya maisha 3. Mwenye hofu na Mungu 4. Handsome...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwenye mdema wangu nmepata samaki mmoja na hata siufungui huu mdema nauvunja kwa maana sitegi tena, maana mda mwingi wanaingia kaa tu but later thanks Lord God kwa kumpata huyu mmoja, naamini leo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hakika,kadri tunavyoelekea mwisho wa enzi za duniani,maisha yanazidi kuwa rahisi sana. Kwa sasa hivi hata wale wasioweza kutongoza vema,sasa wamebahatika kupata wenza. Tangazo hilo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Make it short, Nipo Dar ni mfanyabiashara, umri 29yrs. Natafuta mke mwenye sifa tajwa hapo kwenye Tittle sijali sana uzuri wala rangi kikubwa tu awe mtafutaji kama mimi, na mwenye kujua majukumu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume umri ni 24 yrs. wanajamvi. Ninaitaji mke wa kuoa na kuanza maisha nae. Sifa 1. Awe yupo Kanda ya Ziwa akiwa Mwanza ni vzur zaidi 2. Sichagui dini wala kabira 3. Elimu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natafuta mpenzi, i mean girlfriend around kanda ya ziwa. Awe anamcha Mungu dini zote sawa na mwenye kujiheshimu. Rika yoyote Sifa zangu Umri: Miaka 23 Elimu: Diploma ya Ustawi wa Jamii Kimo...
0 Reactions
5 Replies
986 Views
Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 30 Kazi yangu mwl...natafuta mwanaume aliye tayari tufunge ndoa kuanzia 30yrs hadi 45 Awe muislamu na mapenzi ya dhati! Aliye tayari aje Pm Ahsante!
5 Reactions
41 Replies
6K Views
Mm ni msichana nimeajiriwa serikalini natafuta mume anayejua thamani ya mwanamke. miaka 35 - 45. akitokea Dar, Tanga, moshi, pwani na moro.
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Mm kijana mwenyewe umri miaka 26 nahitaji mke aliyeserious dini awe mkristo tena Rc awe na kazi kwa sababu mm mwenyewe nina kazi sipendi mtu tegemezi
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nina miaka 27, elimu yangu ni degree moja, sijawahi kuolewa na sina mtoto, dini yangu ni mkristo nataka kuwa mke. Ila ningependa kuolewa na mwanaume ambae ana mke tayari...
22 Reactions
176 Replies
67K Views
Habari wanajukwaa? Hitaji langu kuu ni kama nilivyoeleza hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 26, naishi Dar es salaam kikazi na makazi kwa ujumla. Kitaaluma ni mwanasheria, Elimu yangu ni diploma...
0 Reactions
0 Replies
730 Views
Habari za humu wapendwa. Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu. Sifa za...
3 Reactions
168 Replies
42K Views
Natumaini wote wazima Nahitaji mwenza ambaye tukijaaliwa aje kunioa Awe muislam(muhim saaaana) Miaka 27-36 Elimu Degree Awe anajishughulisha angalau Kama anavaa na cjaridhika na uvaaje wake...
9 Reactions
122 Replies
17K Views
Habari wanajukwaa? Hitaji langu kuu ni kama nilivyoeleza hapo juu. Mimi ni kijana umri miaka 26, naishi Dar es salaam kikazi na makazi kwa ujumla. Kitaaluma ni mwanasheria, Elimu yangu ni diploma...
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Mapenzi unautesa moyo wangu kila ninapo jaribu kumtafuta wakunifariji najiumiza zaidi let me to say love takes time[emoji125] [emoji126] you Los my mind [emoji144][emoji144] I wanna be...
0 Reactions
2 Replies
559 Views
Habari zenu wana jf mie ni mkazi wa kunduchi nimekuja hapa kutafta marafiki wa kuchat nao na kubadilishana mawazo sja target umri kwa sababu wazo jema halina umri hivo bas karibuni sana wenye nia...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Tafuta uhusiano na mwanamke ambaye ana heshima na utulivu
0 Reactions
0 Replies
417 Views
Hello habari zenu Sitazunguka sana naenda moja kwa moja kwenye point Kwa walio serious tu plz Mi ni kijana wa miaka zaid ya 30 Ninaishi Netherlands muda huu Nimetamani sana kuoa mtanzania lakin...
0 Reactions
85 Replies
13K Views
Niende moja kwa moja kwenye point! Ni wakati muafaka sasa baada ya kupitia changamoto nyingi sana kwenye kumpata mtu sahihi wa kupanga nae malengo aje kua mke siku za usoni, leo nakuja mbele...
0 Reactions
3 Replies
957 Views
Mke mwema anahitajika sana. Awe na sifa hizi 1. Mkristo au mwislam aliyetari kuwa mkristo preferably mpentekoste. 2. Elimu sio kigezo ila awe na akili nyingi za maisha. 3. Awe ni mwanamke mwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom