Huyu ndie mume anayekufaa

Joseshayo

Member
May 21, 2013
94
33
Habari wanajamvi,

-Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.

-Mfanyabiashara

Natafuta mwanamke wa kuishi nae na kuniletea watoto duniani.

Ninapenda sana watoto.

Mwanamke awe na utayari wa kua na familia na ndoa.

Ushirikiano. Na malezi bora kwa watoto.

Ningependelea mwanamke awe na sifa zifuatazo;

1. Awe mcha Mungu Mkristu/Mwislamu/ Mlokole etc.

2. Umri; 20-60.

3. Anaejitambua (asiwe mswahili sana)

4. Mwaminifu kwenye ndoa.

5. Rangi' yoyote tuu.

6. Awe na urefu kama Wastara hivi au Recho wa kipepeo. ( waigizaji)

7. Awe tayari kwa ndoa.

8. Anajituma.

9. Asiwe na historia ya kosa la jinai.

10. Elimu ya kawaida tuu. Ila ajue kusoma na kuandika.

11. Awe msikivu

12. Asiwe mbaguzi

Karibuni PM. Kwa moyo mkunjuvu uliojaa shauku ya kumuona mwanamke atakae ishi na mimi mpaka pale kifo kitakapo tutenganisha.

Nb: - Mjane/ mke ulie achika njoo tushauriane na tuyajenge pengine tutaendeleza safari hii ya upendo pamoja.

- Napenda watoto alie na mtoto/watoto tutazungumza pia.

Karibuni sana.
 
Habari wanajamvi,

-Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.

-Mfanyabiashara

Natafuta mwanamke wa kuishi nae na kuniletea watoto duniani.

Ninapenda sana watoto.

Mwanamke awe na utayari wa kua na familia na ndoa.

Ushirikiano. Na malezi bora kwa watoto.

Ningependelea mwanamke awe na sifa zifuatazo;

1. Awe mcha Mungu Mkristu/Mwislamu/ Mlokole etc.

2. Umri; 20-60.

3. Anaejitambua (asiwe mswahili sana)

4. Mwaminifu kwenye ndoa.

5. Rangi' yoyote tuu.

6. Awe na urefu kama Wastara hivi au Recho wa kipepeo. ( waigizaji)

7. Awe tayari kwa ndoa.

8. Anajituma.

9. Asiwe na historia ya kosa la jinai.

10. Elimu ya kawaida tuu. Ila ajue kusoma na kuandika.

11. Awe msikivu

12. Asiwe mbaguzi

Karibuni PM. Kwa moyo mkunjuvu uliojaa shauku ya kumuona mwanamke atakae ishi na mimi mpaka pale kifo kitakapo tutenganisha.

Nb: - Mjane/ mke ulie achika njoo tushauriane na tuyajenge pengine tutaendeleza safari hii ya upendo pamoja.

- Napenda watoto alie na mtoto/watoto tutazungumza pia.

Karibuni sana.
Miaka 65 tunakaribishwa PM tuweze kuyajenga??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom