Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Watu sita (Wanaume 4 na Wanawake 2) wamelazwa katika Hospitali ya Mafunzo na Rufaa ya Kaunti ya Homa Bay baada ya kujeruhiwa kwa risasi kufuatia mapigano kati ya Polisi na waandamanaji katika Siku...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Kupitia taarifa iliyotolewa na Baraza la Habari Kenya (MCK) imeeleza kuwa kitendo hicho kilichofanywa na baadhi ya Maafisa wa Usalama kimewaweka hatarini Waandishi wa Habari na kazi zao. Katika...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kiongozi wa Azimio la Umoja, Raila Odinga ameishutumu Serikali ya Rais William Ruto kwa kukopa kupita kiasi wakati ambapo nchi inakabiliana na ongezeko la deni la Serikali, na kuonya kuwa Hazina...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Naibu Rais huyo wa Kenya amesema Serikali haitowavumilia Wanaoandamana kwa kuharibu Mali za watu pia wajue wao ndio sababu ya Polisi kuingia Mtaani na kupambana nao, vinginevyo wangekaa tu...
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta sasa anadai kuwa matatizo yanayowasumbua Chama cha Jubilee yalipangwa na serikali ya Kenya Kwanza na kutekelezwa kwa msaada wake. Uhuru alifichua kwamba, ingawa...
1 Reactions
2 Replies
892 Views
Uhuru Kenyatta’s Son Jomo's Karen Home Allegedly Raided By Police Former President Uhuru Kenyatta now claims that his first-born son Jomo's residence in Karen was on Friday raided by mysterious...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
President William Ruto has now fired a direct warning shot to his predecessor Uhuru Kenyatta over his alleged continuous association with opposition chief Raila Odinga. President Ruto, speaking...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Hali? Nimeangalia video zake akimtolea Rutto maneno ya kuudhi ikiwemo matusi. Anaonekana ni binti mdogo tu Je, huyu hasa ni nani? Ni kiongozi wa Upinzani sawa, ila nguvu anapewa na nani?
1 Reactions
4 Replies
716 Views
Baadhi ya raia wa Kenya katika mtandao wa Twitter wameonekana kukerwa na kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan juu ya athari ya maandamano yanayoendelea kushuhudiwa. Rais Samia alisema kuwa Tanzania...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Watu hao wanaendelea na matibabu katika Vituo vya Jaramogi Oginga Odinga Teaching na Hospitari ya JOOTRH baada ya kujeruhiwa kwa risasi katika maandamano yaliyoratibiwa na Azimio la Umoja One...
1 Reactions
4 Replies
855 Views
Mara kadhaa Chadomo imekuwa ikiwaaminisha watu kwamba Katiba Mpya ndio muarobaini wa Maisha Bora,Utawala Bora na Maadili Bora. Kwa kinachoendelea Kenya chini ya William Ruto,Pasi na shaka...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Licha ya maandamano yanayoendelea Kenya, Rais Ruto amewakaribisha Saudi Arabia wawekeze wapendavyo na amewataka waitumie fursa ya kufunguwa viwanda kwani Kenya ina mikataba ya misamaha ya kodi ya...
17 Reactions
199 Replies
8K Views
Rais wa Kenya, William Ruto leo Jumamosi ametangaza kuwa amefanya mazungumzo Ikulu ya Nairobi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Shakhboot bin Nahyan Al Nahyan...
0 Reactions
2 Replies
514 Views
Wakuu heshima kwenu Kwa miaka kadhaa nimekuwa nikifatilia siasa za nchi zetu za Afrika mashariki hususani kipindi Cha uchaguzi. Rwanda na Uganda sijashuhudia chaguzi zao hivyo naziacha Kama...
15 Reactions
73 Replies
6K Views
Chama cha Azimio La Umoja One Kenya Coalition Party kimetangaza kuwa kitaendelea na maandamano ya kupinga serikali nchini kote Jumatano wiki ijayo, kikiahidi kuzidisha maonyesho kutokana na kile...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Ugumu wa maisha Kenya, mwanamke ajirusha kutoka kwenye ferry baharini akiwa na mtoto!!
2 Reactions
27 Replies
4K Views
MK254 njoo uone masrepa yenu huku sio kutwa nzima unakomaa na NATO vs One man Army (PUT IT IN) aka the bear rider --- Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) limethibitisha kuwa Helikopa ya Jeshi la...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiongozi wa zamani wa kundi haramu la Mungiki Maina Njenga alikamatwa nyumbani kwake eneo Kiserian usiku wa kuamkia Alhamisi. Aidha kakake Njoroge Njenga pamoja na msaidizi wake Ole lekishe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakenya kwenye mitandao ya kijamii wametoka rai kwa Inspekta Jenerali wa Polisi Japheth Koome kumkamata askari huyu aliyenaswa na kamera mara tu baada ya kumpiga risasi mtu mmoja kwenye maandamano...
0 Reactions
2 Replies
831 Views
Mbunge wa Embakasi Mashariki Mheshimiwa Babu Owino angali bado anashikiliwa na polisi katika kituo cha Polisi cha Wanguru kilichoko kaunti ya Kirinyanga, Mke wake Fridah Ongili amethibitisha...
0 Reactions
0 Replies
574 Views
Back
Top Bottom