Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Tangu kuanzishwa kwa siasa za vyama vingi Kenya, somo moja ambalo vyama vya siasa vimejifunza ni mpango wa kuungana ili kuweza kupata ushindi wakati wa uchaguzi mkuu. Uanzishaji wa miungano...
0 Reactions
0 Replies
516 Views
Japo mambo ya Ngoswe tulipaswa kumwachia Ngoswe, rais Samia S Hassan hivi karibuni alisikika akijisifu kuwa Kenya inapoteza wawekezaji kwa Tanzania. Sijui alipitiwa, alishauriwa vibaya au hajui...
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Serikali ya Rais William Ruto imemuagiza Rais mstaafu Uhuru Kenyatta na familia yake kurejesha silaha zote wanazomiliki kama familia ya Kenyatta. Familia hio inatarajiwa kurejesha jumla ya...
14 Reactions
64 Replies
5K Views
Muungano wa Azimio La Umoja unakusanya ushahidi wa kuwasilisha katika kufungua kesi katika Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (ICC), dhidi ya Polisi kutumia nguvu kupita kiasi katika kukabiliana na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Boost as KDF commissions newly acquired aircraft in Nairobi The aircraft will support and complement the three newly acquired C-27J Spartan tactical aircraft acquired by Kenya. In Summary • Maj...
3 Reactions
41 Replies
6K Views
Karibu utupie jicho yaliyomo kwenye kurasa za mbele ya magazeti leo Julai 20, 2023. Inasadikiwa wahariri wakuu wa magazeti walifikia makubaliano ya kutumia kichwa kimoja cha habari, kutoa rai kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mahakama ya Eldoret imemhukumu Fidel Ochieng kifungo cha miaka 3 gerezani au kulipa faini ya Ksh.100,000 sawa na takriban Tsh. Milioni 1.7 baada ya kukiri kutuma ujumbe wa matusi kwa aliyekuwa Mke...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Utafiti huo umetokana na kazi iliyofanywa na Taasisi ya Infotrak kati ya Julai 3 na 8, 2023 kwa kuchukua kura za watu 2,400, ambapo 15% ya kura zimesema Nchi inaelekea pazuri wakati 12% wao...
1 Reactions
0 Replies
810 Views
Uhuru Kenyata analia kujitokeza hadharani kulalamika kwamba ananyanyaswa na Raisi Ruto, Ruto amewahi kwani asipofanya hivyo yatamkuta yaliowakuta wengi, Ruto alikuwa Makamu wa raisi wa Kenya tena...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Akijaribu kujitetea kuhusu asilimia ndogo ya maandamano katika maeneo mbalimbali nchini jana, na uhamasishaji dhaifu wa uongozi wake wa Azimio, Bwana Odinga alisema kuwa, licha ya kutokuwepo kwake...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Haya mambo ya Uongozi ni magumu Sana Hata ukistaafu basi utaandamwa tu mimi ndio sababu Nampongeza Sana mzee Mwinyi Ruksa alipostaafu tu alikimbilia Msikitini na kujikita na mambo ya muumba tu...
13 Reactions
103 Replies
7K Views
Hekima, Busara na Mikakati iliyotumiwa na Shujaa Magufuli imezidi kurithiwa na Viongozi mbalimbali duniani Kenya wasema kuanzia sasa Maandamano ya aina yoyote ni Marufuku nchini humo Waziri wa...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
WAKATI baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati wakipinga mpango wa kampuni ya DP World ya Dubai kuwekeza kwenye bandari ya Dar es Salaam, Kenya imetangaza maamuzi ya kusaini mikataba ya...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Siasa ya Kenya imeingia dosari kubwa sana, hali Kenya sio shwari kabisa. Leo hii spika amefika ndani ya jengo la Bunge nakujikuta pekee yake hakuna mbunge aliyehudhuria.
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Uamuzi huo unakuja muda mfupi baada ya Odinga kutangazia Wananchi kuwa wajiandae kwa Maandamano ya Kimapinduzi kuanzia Julai 19, 2023, Maandamano ambayo yamepata pia kibali cha Mahakama. Kwa...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Serikali imeondoa walinzi wa aliyekuwa Mke wa Rais Mama Ngina Kenyatta katika nyumba yake ya Gatundu na Muthaiga. Kulingana na maafisa, Mama Ngina, ambaye pia ni mamake Rais wa zamani Uhuru...
2 Reactions
33 Replies
5K Views
Idadi ya maiti Shakahola yafikia 403 Idadi ya maiti zilizofukuliwa katika msitu wa Shakahola imefikia 403 baada ya miili 12 kufukuliwa tena. Hayo yamethibitishwa na Kamishna wa ukanda wa pwani...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mfanyakazi wa ndani ambaye jina lake limehifadhiwa, anatafutwa na Jeshi la Polisi nchini Kenya, baada ya kudaiwa kumuua bosi wake Rahab Karisa, kwa kumchoma na kitu chenye ncha kali, siku moja...
2 Reactions
3 Replies
993 Views
Hatimaye Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga amevunja ukimya baada ya kutojitokeza hadharani kushiriki maandamano. Raila ameeleza kuwa alilazwa baada ya kuugua homa kali. “Niko na homa mbaya sana...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Siyo kila tajiri ataishi milele kwa furaha na utajiri wake Siyo kila mwenye madaraka ataendelea kuishi kwa furaha baada ya kuacha madaraka. Kikwete alipomwachia nchi Hayati Magufuli matosa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom