Wakenya waanzisha vita mtandaoni (Twitter) dhidi ya Watanzania

Kenyan

JF-Expert Member
Jun 7, 2012
414
313
Baadhi ya raia wa Kenya katika mtandao wa Twitter wameonekana kukerwa na kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan juu ya athari ya maandamano yanayoendelea kushuhudiwa.

Rais Samia alisema kuwa Tanzania imekuwa ikipokea idadi kubwa ya wawekezaji tangu mwezi Juni kutokana na 'moto' mkubwa unaoshuhudiwa nchini Kenya.

Kauli hiyo imeonekana kuwakera baadhi ya Wakenya wakidai kuwa siku zote Tanzania ina chuki dhidi ya Kenya.

Swali; Je, ni kweli kwamba Watanzania hawapendi Wakenya?

Je, ni kweli kwamba Wakenya wanapona wivu wanapoon kuwa Tanzania ni tulivu bila ya ghasia?

Je, ni kweli Kenya inaogopa kuwa Tanzania itaipiku kiuchumi?

Kipi kifanyike kukuza uhusiano mzuri baina ya Wakenya na Watanzania?


Screenshot_20230721_091748.jpg
 
Mbona kawaida kutaniana na wakisikia njaa zaidi tunawapa mahindi

Tena safari hii mama atawapa bure na vifaranga hatuchomi
Wakiingiza tunawakuza wakikua tunawapa kitoweo
Sawa watani ?
 
Wa kenya nimewavulia kofia hawajavaa vifaa vyovyote ila askari walio vaa kila aina ya safety wanakimbia wanaokota mabomu ya machozi yaliyo rushwa na askari na kuwarudishia askari na wanalalamika hayawashi
FB_IMG_16889988112442300.jpg


Wanaondoka huku gari ikiwa inafuka moshi wa bomu yaani bomu la mchozi limerushiwa ndani ya gari na wanaamua kuondoka nalo
 
Nilikuwa najiuliza mbona idadi ya watu wenye sura mbaya inazidi mitaani nikaambiwa wakenya wengi wanahamia bongo
Kuna askari huko kapigwa jiwe ambalo hata GOLIATI hakupigwa nalo

Hiyo manati inashikwa na watu hata saba na jiwe linavutwa na bodaboda, wakikata kamba inayovutwa na bodaboda hata kama huyo askari kavaa bulletproof lazima wambebe
FB_IMG_16899792004776991.jpg
 
Dadeki naona moshi kwenye gari kweli Hali si shwari...
Yaani wameona bora waondoke huku bomu likiendelea kufoka ndani ya gari waliwarushia raia mabomu, ila raia wenyewe wanayaokota na kuwarushia wao, ajabu raia hawajavaa chochote cha kujikinga ila wao ambao wapo full equiped ndio wanalala mbele
 
Back
Top Bottom