Nina vifaa vimebaki hapa wadau
1. Fiber Moja Kwa shs 3500 TU za Andika. Zimebaki nne.
2. Msasa Mita 1500 TU.
3. Brush mbili Kwa 3000 TU.
4. Gypsum powder BBG mfuko mmoja Kwa 13000 TU.
5. nipples...
Habarini ndugu, naomba niende moja kwa moja kwenye pointi. Naomba nijuzwe ni wapi naweza pata tiles nzuri za dimension zifuatazo na bei zake na iwapo kama naweza kubaliwa kulipa kidogo dogo.
1...
Wapambanaji mpooo! Naomben kufaham ni kampuni gani nzuri inayo tengeneza bati imara ambazo haziwezi kupauka?
Nikipata makampuni tofauti tofauti itakuwa vizuri sana na bei zao kwa bando
Bati gani nzuri za msouth zile zenye mgongo mpana au hizi zenye migongo kama mabati ya kawaida na gharama zake je zikoje?
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Hizi ajali zinatokanna na kuwa na mafundi uchwara ambao hawafuati maelezo ya egineers. Kupunguza cement, nondo chini ya kiwango na vitu vingine vingi. Lakini ukijenga Gorofa inabidi uwe na...
Medical supplies company, located at Dar es Salaam is looking for:
1/ (experienced) sales representatives,, minimum required sales experience is one year in pharmaceutical or medical supplies...
Wale mungu aliwowabariki wameweka 3D epoxy materials kwenye nyumba zao, unakuta lounge kubwa, rangi ndani nzuri, nyumba ndefu, bodi inang'aa taa za kwenye bodi unakuta wameweka zile nyeupe...
Naomba kuuliza: Unaweza kutumia mfumo wa sora ya wat 100 kwenye nyumba ambayo imekonekitiwa na njia zilezile za umeme? Maana sehemu nilipo umeme bado hauja fika nimenunua solar.
Naomba kufahamu...
Wakuu habarini za muda huu, samahanini kwa usumbufu ila naomba kujua nyumba hii kwa wastani inaweza kuchukua bati ngapi za msauzi maana nimesimama kutokana na kutokujua idadi kamili. Nyumba ipo...
Habari wana jamvi,
Naombeni kuuliza au kupata ufafanuzi kwa wanaofahamu haya mambo au waliopitia hizi heka heka za serikali na mifumo ya sheria zetu za Tanzania.
Hivi inakuwa mtu unakiwanja...
Habari zenu wakuu, nilitaka kuanza ujenzi ila kwa awamu, sasa nimemuuliza mchora ramani (kuna ramani nataka kuichukua kutoka kwake) vyumba ni vitatu (master included) nikamuuliza msingi wake...
Habarini za saa hizi wana JF,
Nina mawazo ya kujenga shambani kwangu lakini ni kighorofa cha floor moja tu ambapo juu nitaweka Master bedroom, ofisi na balcon tu kwa ajili yangu na mke wangu ila...
Nipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo...
Wakuu habari,
Niko Morogoro natafuta mabati ambayo ni transparent pamoja na kofia na gata zake.
Mwenye kujua Morogoro yanapatikana wapi au Dar anijuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.