Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Kuna watu nimesikia wakizungumza kuwa bei ya bati zimepanda leo je kuna ukweli wowote uko?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nina vifaa vimebaki hapa wadau 1. Fiber Moja Kwa shs 3500 TU za Andika. Zimebaki nne. 2. Msasa Mita 1500 TU. 3. Brush mbili Kwa 3000 TU. 4. Gypsum powder BBG mfuko mmoja Kwa 13000 TU. 5. nipples...
1 Reactions
3 Replies
868 Views
Habarini ndugu, naomba niende moja kwa moja kwenye pointi. Naomba nijuzwe ni wapi naweza pata tiles nzuri za dimension zifuatazo na bei zake na iwapo kama naweza kubaliwa kulipa kidogo dogo. 1...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapambanaji mpooo! Naomben kufaham ni kampuni gani nzuri inayo tengeneza bati imara ambazo haziwezi kupauka? Nikipata makampuni tofauti tofauti itakuwa vizuri sana na bei zao kwa bando
2 Reactions
31 Replies
14K Views
Bati gani nzuri za msouth zile zenye mgongo mpana au hizi zenye migongo kama mabati ya kawaida na gharama zake je zikoje? Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Kuna kisima chini kinakusanya maji kutoka kwenye gutters, wakati wa kutumia yanavutwa kwa pump na kujaa kwenye mapipa. M
0 Reactions
5 Replies
941 Views
Hizi ajali zinatokanna na kuwa na mafundi uchwara ambao hawafuati maelezo ya egineers. Kupunguza cement, nondo chini ya kiwango na vitu vingine vingi. Lakini ukijenga Gorofa inabidi uwe na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Medical supplies company, located at Dar es Salaam is looking for: 1/ (experienced) sales representatives,, minimum required sales experience is one year in pharmaceutical or medical supplies...
0 Reactions
0 Replies
520 Views
Inapendeza kuwa na cubicle shower na bath tub lenye jacuzzi. Siku moja moja unatoa stress.
12 Reactions
23 Replies
5K Views
Hapo vip! Binafsi najua baadhi ya sababu za kuzungushia mabati katika saiti ya ujenzi ila ningependa kufahamu sababu zingine kutoka kwako?
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Wale mungu aliwowabariki wameweka 3D epoxy materials kwenye nyumba zao, unakuta lounge kubwa, rangi ndani nzuri, nyumba ndefu, bodi inang'aa taa za kwenye bodi unakuta wameweka zile nyeupe...
23 Reactions
81 Replies
12K Views
Naomba kuuliza: Unaweza kutumia mfumo wa sora ya wat 100 kwenye nyumba ambayo imekonekitiwa na njia zilezile za umeme? Maana sehemu nilipo umeme bado hauja fika nimenunua solar. Naomba kufahamu...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habarini za muda huu, samahanini kwa usumbufu ila naomba kujua nyumba hii kwa wastani inaweza kuchukua bati ngapi za msauzi maana nimesimama kutokana na kutokujua idadi kamili. Nyumba ipo...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Naombeni kuuliza au kupata ufafanuzi kwa wanaofahamu haya mambo au waliopitia hizi heka heka za serikali na mifumo ya sheria zetu za Tanzania. Hivi inakuwa mtu unakiwanja...
6 Reactions
51 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu, nilitaka kuanza ujenzi ila kwa awamu, sasa nimemuuliza mchora ramani (kuna ramani nataka kuichukua kutoka kwake) vyumba ni vitatu (master included) nikamuuliza msingi wake...
10 Reactions
69 Replies
15K Views
Habarini za saa hizi wana JF, Nina mawazo ya kujenga shambani kwangu lakini ni kighorofa cha floor moja tu ambapo juu nitaweka Master bedroom, ofisi na balcon tu kwa ajili yangu na mke wangu ila...
2 Reactions
48 Replies
12K Views
Nipo mitaa ya Osterbay kwa mbali naona mjengo wa Mo Dewji kwa mbali tena naona mjengo wa Paul Makonda kwa pembeni yangu naona mjengo wa makamu wa Rais nikapita Bongoyo road nikakutana na mjengo...
40 Reactions
289 Replies
32K Views
Wakuu habari, Niko Morogoro natafuta mabati ambayo ni transparent pamoja na kofia na gata zake. Mwenye kujua Morogoro yanapatikana wapi au Dar anijuze.
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom