Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Wakuu nazimia sana aina hii ya nyumba kwani zipo very simple,attractive,compact na zinakula nafasi ndogo sana. Ni wapi kwa Dar wanatoa huduma ya ujenzi wa aina hii ya nyumba na gharama huwa ni sh...
12 Reactions
37 Replies
7K Views
Jamani nimenunua kiwanja kikubwa tu lakini mm sijajenga na mama yangu hajajenga na hana kiwanja na karibu anastaafu sasa nilikuwa nataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu nikaona baadaye itakuja...
2 Reactions
17 Replies
8K Views
Wanajamii habarini, Samahani naomba kujua gharama za ujenzi wa nyumba ya room mbili ambayo itakua na choo ndani na ka kibaraza kizuri cha kuvutia.. Atleast yenye muonekano kama pichani
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Tahadhari ni muhimu na watu tuliwaambia,nyumba za hidden roof sio za kupunguza gharama. Ona sasa fundi Maiko kamliza mtu,nyumba inavuja na ukuta unaoza,anaanza upya kufumua. Hakuna kitu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Samahanini wadau naomba kujua hivi kujenga gorofa bila kusimamisha nguzo za zege zile. Uimara wake ukoje? Engineer anadai kwa aina ya udongo ukiwa na matofali imara yakajengwa kwa kulaza...
5 Reactions
62 Replies
12K Views
Uvimo Maktaba. Uvimo Civil Group tukiwa wazoefu na watoa huduma kuanzia Kuchora ramani Kusoma ramani Kujenga kwa au bila ramani Kupaua Plasta Bomba plumbing Uwekaji umeme wa kisasa Rangi Tiles...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu wa Jamii, Natafuta fundi ujenzi mzuri na mwaminifu. Awe na experience ya kutosha kujenga kwa kufata ramani ya nyumba. Eneo ni kibaha karibu na halmashaur. Asanteni sana
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Usafi wa nguo hufanyika kila mara na hii inategemea ukubwa wa familia au wingi wa wakazi. Kuna wanaofua kila siku, kila baada ya siku au mara moja kwa wiki. Wengine Hufua kwa mashine na...
17 Reactions
31 Replies
5K Views
Kuna kampuni moja inatangaza inauza viwanja kwa ofa kuanzia laki moja (20x20) maeneo ya Bagamoyo. Mwenye taarifa zaidi? Chanzo E.FM
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wataalam wa ujenzi, mna maoni gani kwa huu ujenzi? Najaribu kupiga mahesabu yangu ya uwiano hapa, naona yanagoma kubalansi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari nyingi sana hamjambo wakuu? Mimi bana mipango yangu nataka nianze ujenzi mwakani nina shakuhuku sana ya kukaa kwenye miliki yangu ndio furaha yangu ya badae... Nikimaliza kulipa ADA za...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Habarini wadau wa jukwaa la ujenzi na makazi, happy new year. Leo katika kuperuzi kwangu katika mtandao wa facebook nimekutana na mtu anatangaza anatengeneza tofali za kupachika (interlock block)...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari Wana JF, Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4 Vigezo; Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam) Eneo la kutosha...
5 Reactions
181 Replies
28K Views
Tukiona vijana wanajinyima starehe, anasa, matumizi holela tunafurahi sana. Leo ni siku ya vijana kufunguka: Ni changamoto gani ulikutana nayo au unakutana nayo wakati unajenga nyumba yako...
9 Reactions
138 Replies
15K Views
Hello quick thinkers na valuators wa JF, nina budget ya Tsh 25 millions. Kiwanja kipo tayari na eneo la ujenzi ni mkoa wa Mara. Je hiyo budget inaweza kufinance ujenzi wa awali, kupaua na...
4 Reactions
90 Replies
18K Views
Naomba kujua ndugu zangu, idadi ya MATOFARI, MABATI, MBAO, NA CEMENT, Ambayo yataniwezesha kumaliza ujenzi wa vyumba viwili na sebule.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama kufungua biashara ya duka la dawa ni lazima udhaminiwe na dakitari inakuwaje shughuli za kihandisi zinafanyika bila kuhusisha wahandisi. Kufungua gereji, ujenzi wa majengo ya gharama, sehemu...
8 Reactions
52 Replies
6K Views
Habaro yako.. Husika na mada tajwa hapo juu.
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom