Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Ndugu zangu! Nyumba ipo eneo ambalo sidhani kama kuna fungikuvu wala bakteria wala unyevu, (hapa najifariji kuwa sihitaji binder) kwa maana nyumba za huko nyingi ni za udongo na ziko poa tu...
2 Reactions
33 Replies
22K Views
Habari za weekend wadau. Nimetokea kupenda design hii ya dali ambayo miti na zege vimetumika kuremba muonekano. Je kwa wataalam ni miti gani inafaa?. Nini hasara na faida ya ujenzi huu (gharama vs...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Je, unaweza jenga ghorofa moja kuanzia msingi hadi juu kwa mawe? Eti wakuu inawezekana kufanya hivyo?
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wajumbe mnaofahamu Vitasa vizuri vya kifunga katika milango au pia kama kuna mtu annae fahamu duka wanalo uza vitasa vizuri vya milangoni.
1 Reactions
24 Replies
17K Views
Habari wakuu! Jamani kuna fundi hapa anataka kuniwekea madirisha ya vioo kwenye nyumba yangu lakn bei zake kwa dirisha moja la 5/6 anafanya tsh 32000 je ni bei za kawaida au ntapigwa. Naombeni...
2 Reactions
62 Replies
14K Views
Dalali yoyote ambae yupo tayari kufanya biashara naomba anicheki kwa no;0783 24 2247 Nahitaji chumba chenye sifa zifuatazo: Kiwe ni master room Kiwe maeneo ya Kimara Kiwe ndani ya geti/fensi...
0 Reactions
3 Replies
977 Views
Wadau..ninajenga nyumba mkoani Morogoro ina vipimo vya urefu ni 15 na upana ni 12. Ni nyumba ya vyumba 3 vya kulala (viwili kati ya hivyo ni self contained), kimoja cha kawaida na sitting na...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wanandugu, kwa mafundi naomba kujua gharama zao za ujenzi wa vyumba viwili kuanzia msingi mpaka kufunga mkanda juu.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Tunatofautiana uwezo, nyenzo na vigezo, hivi hupelekea kukimbizana na muda katika hitaji la kumiliki nyumba zetu binafsi. Lakini richa ya muda na umri, kila mtu atapambana hadi mwisho amiliki...
11 Reactions
219 Replies
22K Views
Wadau wa JamiiForums habari zenu, Mimi Ni graduate engineer kwenye kozi ujenzi barabara na majengo ngazi ya Diploma, hivyo Ninaomba msaada wa kimawazo Kuna contractor ambaye alinisihii nimsajilie...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu habarini za kazi, poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa Naombeni msaada kuhusu aina ya ndondo za kutumia kwenye ufungaji wa lenta, nyumba yangu ni kubwa vyumba vitatu, sitting room, dinning...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Wadau, naombeni kujuzwa (majina na namba za simu) za maduka yanayouza vifaa vya umeme kwa ajili ya wiring ya nyumba ya makazi. Nimekuja Dsm nataka kufanya shopping. Natanguliza shukrani. Sent...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za kazi wadau! Nina nyumba yangu ambayo nimeahamia mwaka jana, ingawa bado sijamalizia finishing. Mara baada ya kuhamia kwenye nyumba yangu nilishangazwa na kushtuswa na sauti za wadadu...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Mimea inasaidia kuleta hewa safi tunayoihitaji kwa afya zetu. Uharibifu wa mazingira unaongezeka hasa mijini. Hii picha inaonyesha unavyoweza kujiongeza na kupata hewa safi hasa wakati ukiwa...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Chuo cha Mipango Dodoma mbioni kujenga Shopping Mall kama ya MLIMANI CITY ikiwa ni kumbukumbu za Mawaidha ya Mwalimu Nyerere ya MADUKA ya Ushirika. Jengo hilo litajengwa Jendegwa mkoani Dodoma...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habar wakuu..... Ninaomba ndugu zangu mafundi wa ujenzi wa nyumba muniseidie tathmini kidogo ya vitu ili niweze kujenga msingi wa nyumba yangu Targets ni vyumba 3 kimoja masters , viwili kawaida...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwenye uelewa na hivi vitofali vyekundu vya kubandika ukutani, vinabandikwa kwa bei gani kwa kila mita za mraba?
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Naomba msaada wa kujua tyle za linglong zinapopatikana na bei zake kwa jumla , hasa size 15 na 14 . Massada wenu kwa anaefahamu
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar wakuu.. Kama kichwa cha habari hapo juu Nina ka eneo changu kigamboni chenye ukubwa wa urefu mita 14.3, upana mita 9.75 ninataka nijenge vyumba vitatu ,kimoja master , sebule, kijiko ...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom