Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Habari za mchana wadau, Kama mnavyojua vijana siku hizi tunachakarika ili tuweze kukaa kwenye nyumba zetu, ila sijaona uzi unaozungumzia ujenzi wa nyuma, watu kupeana ideas mbalimbali za...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
natafuta partner mwenye vifaa vya ujenzi.kampuni valid na kazi zipo kibao naftuta mm.call 0712660713
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nahitaji kujenga nyumba kwa sasa,idadi ya vyumba ni vinne, jiko, store, public toilet,vyote ndani kwa ndani" msaada unahitajika hapa 1:kwa makadirio ya jumla niandae tsh. ngapi mpaka nyumba...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
wanajf sikuhizi maeneo mbalimbali nchini viwanja vinauzwa si tena kama zamani unapata shamba, nusu heka etc, kiwanja hiki kinaukubwa wa mita 15 kwa mita 20, wataalamu wa ujenzi, niambieni hiki...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia wakandarasi wa mabarabara sehemu mbalimbali, nikagundua kuwa wengi wao baada ya kumaliza shughuli za ujenzi wa barabara walizopewa, vifaa vungi kama makatapira...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Members nina kiasi cha Tshs.milioni hamsini je ninaweza kujenga nyumba ya vyumba vinne ikaisha? Naomba ushauri kutoka kwa wale ambao wameshajenga nyumba. Na kama hujajenga basi unafahamu usisite...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Sekta ya ujenzi wa nyumba imezidi kupata ahueni baada ya Benki ya CRDB kuzindua mkopo maalumu kwa ajili ya ujenzi wa nyumba uitwao ‘Jijenge’, utakaokuwa mfumbuzi wa tatizo la changamoto...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Habari wana JF, jana usiku kibaka kabenjua luva za madirisha nyumbani kwangu na kufanikiwa kuondoka na simu HTC ya wife! Kotokana na tukio hili imenibidi long term plan yangu ya kujenga uzio iwe...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Habari wa JF , naomba msaada wa kimawazo na ushauri, Nina Mil.10 ninaplan ya kujenga nyumba yenye vyumba 3, Je kwa hiyo pesa nyumba yangu itaishia wapi? Kwa wenye uzoefu wa mambo ya ujenzi...
1 Reactions
74 Replies
18K Views
Heshima kwenu wakuu, Mwanajamvi anayekwenda kwa jina ritz alituhabarisha juu ya mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa kitongoji cha Kaloleni. Mradi wa ujenzi Kaloleni umekaa kifisadi zipo sababu...
3 Reactions
16 Replies
3K Views
JAMANI WADAU HAABARI ZA JIONI NAOMBA KUULIZA ETI UTARATIBU WA UJENZI WA NYUMBA KATIKA MIJI NA MAJIJI, MANSPAA PAMOJA NA NYUMBA SERIKALI NA TAASISI ZAKE NI UTARATIBU UPI UNAOTAKIWA KUFUATWA NA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kikwete sasa ameanza kazi, Nondo mm 12 ef 14500, sementi mfuko sh 12400,misumari,bati bei ni bwereree,hadi raha.kama una ujenzi wako wakati ni huu.
0 Reactions
62 Replies
10K Views
Habari wanajamii ninaduka la vifaa vya ujenzi hapa Dar maeneo ya kitunda mtaji wangu mdogo nahitaji mtu anayeuza vifaa vya ujenzi kwa bei ya jumla anisaidie vifaa kama Rangi, vifaa vya umeme...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyumba nyingi za Ulaya na Marekani hujengwa kwa mtindo huu, na wakishafunika juu yake kwa makaratasi na maplastic inaonekana bomba sana kumbe ni mbao tu na hata sakafu imesakafishwa kwa mbao...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Wadau naomba kama kuna mdau ana software ya kudizaini paa la nyumba katika 3D format, naomba anisaidie tafadhari!! Nataka software ambayo ni rahisi kutumia, isiyohitaji degree ya architecture au...
0 Reactions
0 Replies
491 Views
Jamani wadau naombeni ramani za nyumba nzuri anisaidie au kama unajua website yenye nazo itafaa pia. Asanteni kwa ushirikiano.
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Guys, I would like to know approximately how much does it cost to build a building in Dar lets say 20 floors. Will appreciate all the answers
0 Reactions
1 Replies
3K Views
WAKUU HABARI ZENU ebwana nilikuwa najaribu kuangalia picha za hii nyumba inayopatikana hapa palo alto calofonia but nikawa nafikiria hii nyumba japokuwa ni kind expensive huku kibongo bongo kama...
1 Reactions
18 Replies
14K Views
Habari zenu wanajamvini, kwanza kabisa nimezunguka kutafuta viwanja kila sehemu bei juu yaani kila kitu siku hizi kimepanda, msadaa wa kwanza nataka kununua kiwanja nielekezeni ni mitaa ya wapi...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wadau na wakuu wa jamvini ninaomba msaada wa copy ya hiyo software yenye key na malipo ni maelewano. Email yangu ni lijonjo@hotmail.com
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom