Nahitaji g 30 migongo midogo ...bando moja wanauza bei gan?Sunshare Ltd
Bei ya bati ni kwa mita 1
Bei zinatofautiana kulingana na aina ya bati pamoja na gauge unayotaka.
Vigae, Bati la vigae, Bati ya kawaida, Mgongo mpana/Mkubwa.View attachment 1974040View attachment 1974041View attachment 1974043View attachment 1974044View attachment 1974046
Wanapatikana wapi arushaSunshare Ltd
Bei ya bati ni kwa mita 1
Bei zinatofautiana kulingana na aina ya bati pamoja na gauge unayotaka.
Vigae, Bati la vigae, Bati ya kawaida, Mgongo mpana/Mkubwa.View attachment 1974040View attachment 1974041View attachment 1974043View attachment 1974044View attachment 1974046
Wapo Dar Es Salaam na Mwanza kwa sasaWanapatikana wapi arusha
ya rangi au plain?Nahitaji g 30 migongo midogo ...bando moja wanauza bei gan?
Ya rangiya rangi au plain?
Wapo Dar Es Salaam na Mwanza kwa sasa
Mkuu hizo bei ni kwa bando au?na bando linakuwa na bati ngapi?Gauge 28 = 587,232
Gauge 30 = 661,536
Gauge 28 Bati zinakuwa 12Mkuu hizo bei ni kwa bando au?na bando linakuwa na bati ngapi?
Gauge 28 Bati zinakuwa 12
Gauge 30 Bati zinakuwa 16
Daah hata mm nimepiga hesab hapo mpaka kichwa kimenyonyokaKwa hiyo hiyo gauge 28 bati 120 ni milioni Sita kasoro ushee
Nimechukua hii mkuuHakuna cha kampuni wala nini bati zote hupauka ni swala la muda tu
Ila kuna baadhi ya rangi ikipauka huonekana zaidi. Kwa bahati mbaya wengi ndio huzichagua hasa damu ya mzee.
Rangi nzuri ambazo hata ikipauka huwa haionyeshi ni karoti na kijivu.
hilo lipo wazi. Umesema kwel kabisa.Hakuna cha kampuni wala nini bati zote hupauka ni swala la muda tu
Ila kuna baadhi ya rangi ikipauka huonekana zaidi. Kwa bahati mbaya wengi ndio huzichagua hasa damu ya mzee.
Rangi nzuri ambazo hata ikipauka huwa haionyeshi ni karoti na kijivu.
hiyo ni kulingana na kipato chetu.Daah hata mm nimepiga hesab hapo mpaka kichwa kimenyonyoka