olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,303
- 1,559
Habari zenu wakuu, nilitaka kuanza ujenzi ila kwa awamu, sasa nimemuuliza mchora ramani (kuna ramani nataka kuichukua kutoka kwake) vyumba ni vitatu (master included) nikamuuliza msingi wake unaweza kugharimu bei gani?
kaniambia mil 12 kidogo nizimie.
Ambao mmejenga naombeni mnijuze mlitimia sh ngapi kwenye msingi.
kaniambia mil 12 kidogo nizimie.
Ambao mmejenga naombeni mnijuze mlitimia sh ngapi kwenye msingi.