Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan ameongea kwa uchungu ,hisia na utulivu mkubwa sana katika hotuba...
0 Reactions
22 Replies
448 Views
Akiwa anazungumza leo Dodoma Tanzania Waziri Mkuu Mteule Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba alisema "Rais Samia amejitambulisha kama Rais anayetaka matokeo ya haraka yanayotatua matatizo ya Watanzania"
-1 Reactions
4 Replies
162 Views
Nabii wa wa kweli kama Elia, Samwel na Elisha walikuwa wanakemea maovu. Utekaji, ufisadi kupendelea familia za watawala., Kama Mwamposa ni nabii wa kweli mbona aliomba na kumuwekea mikono Rais...
3 Reactions
24 Replies
571 Views
MHE. DKT MWIGULU APOKELEWA OFISI YA WAZIRI MKUU Waziri Mkuu Mteule Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba akipokelewa na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, kwenye makazi ya Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma...
0 Reactions
4 Replies
369 Views
"Umepokea kijiti kutoka kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimwa Kassim Majaliwa ambaye amefanya kazi nzuri kufanikisha tunayotamba nayo leo, tukitamba na vituo vya shule, vituo vya afya, Mahospitali ya...
0 Reactions
0 Replies
226 Views
Inawezekana kabisa kuna uwezekano wa asilimia 97.66 zipo sayari mbili tofauti ambazo binadamu wanaishi...haiwezekani kwenye sayari moja watu wakawa wanaangalia tofauti. Jamaa hawana furaha wala...
10 Reactions
21 Replies
424 Views
Mpango wa muda mrefu ni Makonda kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii. Kupelekwa kwake kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na baadaye “kutengenezwa” kuwa Mbunge wa Arusha haikuwa bahati mbaya. Niwape tu...
3 Reactions
19 Replies
515 Views
Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) kinalaani vikali vurugu, mauaji, na uharibifu wa mali vilivyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025, na kinatoa pole kwa wote waliopoteza ndugu au...
1 Reactions
38 Replies
950 Views
"Unajua kitu chochote ili kianze upya kinatakiwa kuna kitu kifanyike sasa ili Mimi na wewe ili tuanze upya katika mambo ambayo tulifanyiana yawe yamekufurahisha wewe hayajanifurahisha Mimi au...
1 Reactions
2 Replies
118 Views
Mnamo Novemba 12, 2025 Wakili Mwandamizi Mpale Kaba Mpoki alipokea wito kutoka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kipolisi Kawe. Wito huo ulimtaka afike leo asubuhi Novemba 13, 2025 katika kituo...
11 Reactions
55 Replies
2K Views
Tokea Wiki hii ianze mlikuwa mnatamba tu huko Dodoma huku mkijiaminisha kuwa mmoja wenu atakuwa PM ajaye wa Tanzania hatimaye wote Wawili Mama kawala Vichwa na ha hamjaamini kabisa. Na kuna mmoja...
7 Reactions
61 Replies
3K Views
Godbless Lema, aliyewahi kuwa Mbunge wa Arusha Mjini na kwa sasa Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA, amewakosoa vikali viongozi wa dini nchini kwa ukimya wao katika kipindi ambacho taifa limejeruhiwa na...
1 Reactions
1 Replies
152 Views
Nilipokuwa lockup Osterbay, sero ya pembeni yangu kulikuwa na wasichana wengi wadogo wa kike walikuwa wanaomba na kuimba.Nafikiri waliimba na kuomba usiku kucha na asubuhi pia. Nami nikajikuta...
9 Reactions
17 Replies
802 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kumuapisha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 📅 14.11.2025 ⏰️ Saa 4...
0 Reactions
8 Replies
623 Views
Kuna fununu kuwa Serikali fake ya CCM inakuja na mkakati wa kuwa na maridhiano na Gen-Z waliandaliwa na CCM, hili kuonesha kuwa Gen-Z wamemkubali Samia kama raisi. Tuwe makini na uongo wa CCM
9 Reactions
17 Replies
786 Views
Mange Kimambi, ambaye serikali kupitia Mwanasheria Mkuu ilisema ame "engineer" maandamano, amekataa maridhiano kwa kauli kali. Kwa ushauri wangu, ujumbe wa serikali kuongea na Mange ujumuishe...
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Mwanza, Tanzania - Kwa mtazamo wa haraka, wanaonekana kama vijana wa kawaida wanaofanya mazoezi ya kukimbia. Wakiwa wamevalia sare za mazoezi zinazofanana na wakiwa na vitambaa vyekundu shingoni...
16 Reactions
60 Replies
3K Views
Taarifa kupitia Citizen Tv ya Kenya, wanachama wa Chadema na wajumbe wa kamati kuu, John Pambalu na Rose Mayemba wameomba hifadhi nchini Kenya baada ya vurugu zilizotokea Tanzania 29 Oktoba...
13 Reactions
35 Replies
1K Views
Kwenye Jicho langu la Rohoni, Mungu kanionyesha Maandamano makubwa ya Watu misili ya Mchanga wa Bahari !!. Ule Wingi wa watu umetengeneza Ukuta wa Ulinzi kiasi kwamba Hamna Pepo CHAFU ya...
7 Reactions
15 Replies
725 Views
Back
Top Bottom