Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Kuna uwezekano Mkubwa sana mtu anayejiita Kaka Yake Humphrey polepole Akawa na Matatizo ya akili pamoja na Msongo Wa Mawazo. Ni mtu ambaye ukimsikiliza vizuri na kwa...
0 Reactions
40 Replies
526 Views
Mwandishi kusaga wa Arusha ashikiliwa na polisi muda huu,chanzo chadaiwa kuandika taarifa za uongo za kijana aliyebishana na polisi Mwandishi wa habari wa alphonce Kusaga mmiliki wa Kusaga TV na...
1 Reactions
3 Replies
170 Views
Kufuatia tukio la kukamatwa kwa meli iliyokuwa na bendera ya Tanzania, iliyokuwa na tani 6.6 za dawa za kulevya aina cocaine katika eneo la La Unión, El Salvador Februari 19, 2026,, kuna haja ya...
8 Reactions
35 Replies
536 Views
HRC61 - EU statement - Item 2 Annual report of the UN High Commissioner for the Human Rights and report of the Office of the High Commissioner and the UN Secretary-General 02.03.2026 Geneva...
1 Reactions
3 Replies
165 Views
  • Redirect
Ndugu Mayala Deadline tayari imeshapita hatujaona sababu za kwanini Usichukuliwe hatua kali za kinidhani na board ya ithibati kwa kuropoka maneno ambayo yalikua nashusha hadhi ya Waziri Mkuu...
0 Reactions
Replies
Views
  • Featured
Ya kweli haya ndugu zangu? Kila kitu pipo shwari baada ya uchaguzi? Mambo yamerejea kama kawaida na uchumi umekua? ===== "Tanzania tuko watulivu na tuko sawa. Kisiasa, kila kitu kiko chini ya...
4 Reactions
21 Replies
670 Views
Huu mjadala wa kupigiwa na kutopigiwa makofi msibani ni mgumu kama msiba ulivyo mgumu. Waziri Mkuu Mh. Mwigulu kasema yeye binafsi hahitaji kupigiwa makofi. Kama kupendwa, akiishapendwa na mkewe...
11 Reactions
13 Replies
340 Views
GT, Hii ni maajabu huyu jamaa hana haiba ya Uwaziri Mkuu hata kidogo, anaonekana muhuni tu tofauti na wenzake waliopita. Wangetafuta figure nyingine lakini siyo huu jamaa maana hayuko mioyoni...
23 Reactions
106 Replies
3K Views
Kwa hali ilivyo mpaka sasa ningecheza karata moja ambayo watu wasinge amini macho yao. Maana sina cha kupoteza, sasa ili kumaliza hiki kipindi kilichobaki ili nikapumzike zangu lakini pia niwe...
14 Reactions
47 Replies
879 Views
Tunaposema utawala wa Magufuli ulijaa futuhi na propaganda muwe mnaelewa. Kuna kipindi muliita serikali ya viwanda, mkiambiwa muonyeshe viwanda 20 tu vya kati au vikubwa vya JPM au vya invester...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
https://www.youtube.com/watch?v=4q282jxs_3E Mbunge wa Jimbo la Segerea, Agnesta Lambert Kaiza, kupitia tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), amesema kuwa katika jimbo lake bado kuna kero...
0 Reactions
1 Replies
93 Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Botchwey, amemteua Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera, Rais wa zamani wa Malawi, kuwa Mjumbe Maalum wake katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dkt...
2 Reactions
60 Replies
2K Views
MUHTASARI (ABSTRACT) Utafiti huu unapendekeza mkakati wa kina wa marekebisho ya muundo wa kispasheli na ugatuzi wa huduma za mijini kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar...
4 Reactions
12 Replies
441 Views
Hiki ni kituko kingine cha ccm mwaka 2026 Mbona terms za maridhiano zilishawekwa wazi na Gen Z Hawa watu sijui watuonaje huko Na viwango vimeshawekwa.. Hii ni aina nyingine ya upigaji Kibaha...
11 Reactions
44 Replies
1K Views
Mfanyabiashara Mohammed Dewji, na aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia 2005 hadi 2015 akizungumza Oktoba 27, 2015 kwenye kipindi cha Mkasi
1 Reactions
1 Replies
133 Views
“Kama Chama tumechunguza kutoka vyanzo vyetu vya ndani na vingine vya ndani ya Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, nitaeleza kwa kifupi tulichogundua na tunaowaonyooshea...
19 Reactions
75 Replies
5K Views
Kumbe nyie Mwigulu hana adabu kwa mkubwa wake wa kazi, anawezaje kujibu hivi kimafumbo mafumbo? Mbona Makamu wa Rais aliongea vizuri tu kuhusu viongozi kuwajibika ipasavyo kwa wananchi? Je, hii...
4 Reactions
10 Replies
473 Views
  • Redirect
Walio uwawa sio wale waliochoma moto vitu bali watoto na wajawazito hata hivyo wajibu wa serikali sio kuuwa wafanya vurugu tuachane siasa za hovyo
0 Reactions
Replies
Views
Rais analalama kuwa anachukiwa sababu yeye ni mzanzibari Huyu anasema haitaji kupigiwa makofi pwa pwa pwa na kushangiliwa. Kwa nini wasitafute jibu kuwa watu hawawapend?
9 Reactions
22 Replies
273 Views
  • Redirect
https://youtube.com/shorts/MEqA4gkHiEk?si=2gsyCugE6mSwPCdL Akirusha huu mtungi unaweza kumuokoa au ndio jamaa wamejipanga hata akileta ushahidi gani lazima wamtungue
3 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…