Ndugu zangu Watanzania,
Kuna uwezekano Mkubwa sana mtu anayejiita Kaka Yake Humphrey polepole Akawa na Matatizo ya akili pamoja na Msongo Wa Mawazo. Ni mtu ambaye ukimsikiliza vizuri na kwa...
Mwandishi kusaga wa Arusha ashikiliwa na polisi muda huu,chanzo chadaiwa kuandika taarifa za uongo za kijana aliyebishana na polisi
Mwandishi wa habari wa alphonce Kusaga mmiliki wa Kusaga TV na...
Kufuatia tukio la kukamatwa kwa meli iliyokuwa na bendera ya Tanzania, iliyokuwa na tani 6.6 za dawa za kulevya aina cocaine katika eneo la La Unión, El Salvador Februari 19, 2026,, kuna haja ya...
HRC61 - EU statement - Item 2 Annual report of the UN High Commissioner for the Human Rights and report of the Office of the High Commissioner and the UN Secretary-General
02.03.2026 Geneva...
Ndugu Mayala Deadline tayari imeshapita hatujaona sababu za kwanini Usichukuliwe hatua kali za kinidhani na board ya ithibati kwa kuropoka maneno ambayo yalikua nashusha hadhi ya Waziri Mkuu...
Ya kweli haya ndugu zangu?
Kila kitu pipo shwari baada ya uchaguzi? Mambo yamerejea kama kawaida na uchumi umekua?
=====
"Tanzania tuko watulivu na tuko sawa. Kisiasa, kila kitu kiko chini ya...
Huu mjadala wa kupigiwa na kutopigiwa makofi msibani ni mgumu kama msiba ulivyo mgumu.
Waziri Mkuu Mh. Mwigulu kasema yeye binafsi hahitaji kupigiwa makofi. Kama kupendwa, akiishapendwa na mkewe...
GT,
Hii ni maajabu huyu jamaa hana haiba ya Uwaziri Mkuu hata kidogo, anaonekana muhuni tu tofauti na wenzake waliopita.
Wangetafuta figure nyingine lakini siyo huu jamaa maana hayuko mioyoni...
Kwa hali ilivyo mpaka sasa ningecheza karata moja ambayo watu wasinge amini macho yao.
Maana sina cha kupoteza, sasa ili kumaliza hiki kipindi kilichobaki ili nikapumzike zangu lakini pia niwe...
Tunaposema utawala wa Magufuli ulijaa futuhi na propaganda muwe mnaelewa.
Kuna kipindi muliita serikali ya viwanda, mkiambiwa muonyeshe viwanda 20 tu vya kati au vikubwa vya JPM au vya invester...
https://www.youtube.com/watch?v=4q282jxs_3E
Mbunge wa Jimbo la Segerea, Agnesta Lambert Kaiza, kupitia tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), amesema kuwa katika jimbo lake bado kuna kero...
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Mhe. Shirley Botchwey, amemteua Mhe. Dkt. Lazarus Chakwera, Rais wa zamani wa Malawi, kuwa Mjumbe Maalum wake katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Dkt...
MUHTASARI (ABSTRACT)
Utafiti huu unapendekeza mkakati wa kina wa marekebisho ya muundo wa kispasheli na ugatuzi wa huduma za mijini kwa lengo la kupunguza msongamano wa magari katika Jiji la Dar...
Hiki ni kituko kingine cha ccm mwaka 2026
Mbona terms za maridhiano zilishawekwa wazi na Gen Z
Hawa watu sijui watuonaje huko
Na viwango vimeshawekwa..
Hii ni aina nyingine ya upigaji
Kibaha...
Mfanyabiashara Mohammed Dewji, na aliyewahi kuwa Mbunge wa Singida kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanzia 2005 hadi 2015 akizungumza Oktoba 27, 2015 kwenye kipindi cha Mkasi
“Kama Chama tumechunguza kutoka vyanzo vyetu vya ndani na vingine vya ndani ya Jeshi la Polisi na Vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, nitaeleza kwa kifupi tulichogundua na tunaowaonyooshea...
Kumbe nyie Mwigulu hana adabu kwa mkubwa wake wa kazi, anawezaje kujibu hivi kimafumbo mafumbo? Mbona Makamu wa Rais aliongea vizuri tu kuhusu viongozi kuwajibika ipasavyo kwa wananchi?
Je, hii...
Rais analalama kuwa anachukiwa sababu yeye ni mzanzibari
Huyu anasema haitaji kupigiwa makofi pwa pwa pwa na kushangiliwa.
Kwa nini wasitafute jibu kuwa watu hawawapend?
https://youtube.com/shorts/MEqA4gkHiEk?si=2gsyCugE6mSwPCdL
Akirusha huu mtungi unaweza kumuokoa au ndio jamaa wamejipanga hata akileta ushahidi gani lazima wamtungue